sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,073
JF bana,Hakika hii ni pumzi yamoto wanayohemewa simba,
Mwenye Nguvu mpishe tu
Walianza na Azizi Ki kwa ofa ya kibahili wakapigwa kanzu na Yanga kwenye kitita
Walitaka kumkomoa Morrison kwa kumpunguzia mshahara na kumnyima release letter ila wakili msomi kawaumbua
Huyo aliwapiga za uso Yanga kule CAS , vip una staajabu mambo madogo!!!Hakika hii ni pumzi ya moto wanayohemewa Simba.
Mwenye Nguvu mpishe tu.
Walianza na Azizi Ki kwa ofa ya kibahili wakapigwa kanzu na Yanga kwenye kitita.
Walitaka kumkomoa Morrison kwa kumpunguzia mshahara na kumnyima release letter ila wakili msomi kawaumbua.
Ndio tupo Immigration hapa tunashughulikia Swala la Uraia wa Morrison. tumefika kipengele cha Kujaza Kabila ungependekeza tumpe Kabila gani?.Huyo aliwapiga za uso Yanga kule CAS , vip una staajabu mambo madogo!!!
Simba hawakumnyima Morrison release letter,bali walimtaka afuate taratibu kuwa timu inayomtaka ndiyo iombe barua hiyo kwani kisheria Simba wangemuandikia barua hiyo tafsiri yake ni kuwa wamevunja mkataba. Ila kama kuna timu ilidhalilishwa na Morrison ni Yanga. Morrison alitoka Yanga kihuni, Yanga wakatumia milioni sitini gharama ya kufungua jalada CAS, Morrison akawabwaga na Yanga ikamlipa mamilioni kwa kumsumbua. Kama una akili timamu sidhani kama ungeanzisha hii thread,naona wewe ni mhitimu wa chuo cha kuzalisha wajinga hapo Yanga. Na pia usisahau hii kituHakika hii ni pumzi ya moto wanayohemewa Simba.
Mwenye Nguvu mpishe tu.
Walianza na Azizi Ki kwa ofa ya kibahili wakapigwa kanzu na Yanga kwenye kitita.
Walitaka kumkomoa Morrison kwa kumpunguzia mshahara na kumnyima release letter ila wakili msomi kawaumbua.
huyo Morrison ni Mangi OG pesa mbele nidhamu , kuona aibu na ubinadamu kabatini!Ndio tupo Immigration hapa tunashughulikia Swala la Uraia wa Morrison. tumefika kipengele cha Kujaza Kabila ungependekeza tumpe Kabila gani?.
MuhaNdio tupo Immigration hapa tunashughulikia Swala la Uraia wa Morrison. tumefika kipengele cha Kujaza Kabila ungependekeza tumpe Kabila gani?.
Mchaga,anaangalia bela tu,lawama baadaeNdio tupo Immigration hapa tunashughulikia Swala la Uraia wa Morrison. tumefika kipengele cha Kujaza Kabila ungependekeza tumpe Kabila gani?.
Hao ndio walikuwa wanaanzisha nyuzi Morrison afukuzwe nchini wakati yuko SimbaHuyo aliwapiga za uso Yanga kule CAS , vip una staajabu mambo madogo!!!
Kmmke msukuma huyo wa ndembeziNdio tupo Immigration hapa tunashughulikia Swala la Uraia wa Morrison. tumefika kipengele cha Kujaza Kabila ungependekeza tumpe Kabila gani?.
Kucheza hata cheza mpaka siku ambayo mkataba na simba utakwishaaHakika hii ni pumzi ya moto wanayohemewa Simba.
Mwenye Nguvu mpishe tu.
Walianza na Azizi Ki kwa ofa ya kibahili wakapigwa kanzu na Yanga kwenye kitita.
Walitaka kumkomoa Morrison kwa kumpunguzia mshahara na kumnyima release letter ila wakili msomi kawaumbua.
huyo Morrison ni Mangi OG pesa mbele nidhamu , kuona aibu na ubinadamu kabatini!
Luc aliposema wanayanga ni mbwa hakukosea kabisaView attachment 2280941
Makolo mkae mkao wa kuchetuliwa
Jitahidi uwe mtu anayetumia AKILI. Unapewaje releasing letter wakati mkataba haujaisha.Hakika hii ni pumzi ya moto wanayohemewa Simba.
Mwenye Nguvu mpishe tu.
Walianza na Azizi Ki kwa ofa ya kibahili wakapigwa kanzu na Yanga kwenye kitita.
Walitaka kumkomoa Morrison kwa kumpunguzia mshahara na kumnyima release letter ila wakili msomi kawaumbua.