Pre GE2025 Morris Makoi alisambaratisha ngome ya CHADEMA Old Moshi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ndagullachrles

Senior Member
Jun 20, 2023
147
153
Morris Makoi, Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Moshi Vijijini amefanya kile kilichowashinda wengi baada ya kufanikiwq kuisambaratisha ngome ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kuung'oa mbuyu ulioshindikana.

Makoi ambaye ni Diwani wa Kata ya Okaoni (CCM), amemng'oa kada maarufu wa Chadema, Awoni Ringo na mkewe, Judith Ringo.

Ringo, mmoja wa wanasiasa wenye ushawishi mkubwa kwenye siasa za Moshi Vijijini, amewahi kuwa Diwani wa Kata ya Old Moshi Mashariki kwa kipindi cha 2010-2015. Ringo na makada wenzake wpatao 28walipkelewa hivi karibuni na viongozi wa CCM wilaya ya moshi Vijijini pamoja na ofisi ya ccm mkoa.

Akizungumza baada ya kurejea ccm,Ringo amesema amerejea CCM baada ya kuona jitihada kubwa zinazofanywa na serikali ya awamu ya sita ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea maendeleo wananchi.

Kwa upande wake Makoi amesema kurejea kwa Ringo CCM kulitokana na ushawishi wake wa siku nyingi tangu wakiwa kwenye Baraza la madiwani.

Habari zaidi na picha nitakuijia pumde.
 
Moris Makoi mdhulumati mkubwa. Watu wanatumia chama kuficha madhaifu Yao. Ipo siku Mungu atasikia kilio cha wote walioumizwa kwa mabavu na dhulma za bwana huyu. Nilishasoma humu Uzi zinazohusu mambo yake mabovu kibao..zipo. Sio mtu safi.

Chama kuweni makini na watu kama hawa wanaoonea wananchi halafu wanajificha ndani ya shati la kijani.

Hawa ndo wanafanya wananchi wakose Imani na chama. Haki itendeke na chama kiache kumtetea kwa mambo yake maovu ambayo amewafanyia wananchi
 
Ameumiza watu wengi sana huko Arusha halafu anakimbilia hapo okaoni huku akitetewa na baadhi ya watu waliopewa mamlaka ya kuhudumia wananchi
 
Magufuri style, kuwanunua wapinzani, wale wabishi kuwateka au kuwapoteza
 
Morris Makoi, Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Moshi Vijijini amefanya kile kilichowashinda wengi baada ya kufanikiwq kuisambaratisha ngome ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kuung'oa mbuyu ulioshindikana.

Makoi ambaye ni Diwani wa Kata ya Okaoni (CCM), amemng'oa kada maarufu wa Chadema, Awoni Ringo na mkewe, Judith Ringo.

Ringo, mmoja wa wanasiasa wenye ushawishi mkubwa kwenye siasa za Moshi Vijijini, amewahi kuwa Diwani wa Kata ya Old Moshi Mashariki kwa kipindi cha 2010-2015. Ringo na makada wenzake wpatao 28walipkelewa hivi karibuni na viongozi wa CCM wilaya ya moshi Vijijini pamoja na ofisi ya ccm mkoa.

Akizungumza baada ya kurejea ccm,Ringo amesema amerejea CCM baada ya kuona jitihada kubwa zinazofanywa na serikali ya awamu ya sita ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea maendeleo wananchi.

Kwa upande wake Makoi amesema kurejea kwa Ringo CCM kulitokana na ushawishi wake wa siku nyingi tangu wakiwa kwenye Baraza la madiwani.

Habari zaidi na picha nitakuijia pumde.
Kumbe cdm ni kubwa kwa kiwango hicho, maana kila siku tunaambiwa tu cdm imebomolewa. Toka enzi Magufuli cdm inabomolewa. Au mnajichanganya kwenye propaganda zenu?
 
Morris Makoi, Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Moshi Vijijini amefanya kile kilichowashinda wengi baada ya kufanikiwq kuisambaratisha ngome ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kuung'oa mbuyu ulioshindikana.

Makoi ambaye ni Diwani wa Kata ya Okaoni (CCM), amemng'oa kada maarufu wa Chadema, Awoni Ringo na mkewe, Judith Ringo.

Ringo, mmoja wa wanasiasa wenye ushawishi mkubwa kwenye siasa za Moshi Vijijini, amewahi kuwa Diwani wa Kata ya Old Moshi Mashariki kwa kipindi cha 2010-2015. Ringo na makada wenzake wpatao 28walipkelewa hivi karibuni na viongozi wa CCM wilaya ya moshi Vijijini pamoja na ofisi ya ccm mkoa.

Akizungumza baada ya kurejea ccm,Ringo amesema amerejea CCM baada ya kuona jitihada kubwa zinazofanywa na serikali ya awamu ya sita ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea maendeleo wananchi.

Kwa upande wake Makoi amesema kurejea kwa Ringo CCM kulitokana na ushawishi wake wa siku nyingi tangu wakiwa kwenye Baraza la madiwani.

Habari zaidi na picha nitakuijia pumde.
Kila kukicha NGOME YA CHADEMA YASAMBARATISHWA. nadhani nyie Watu mko na Shida upstairs
 
Punguza ujinga. Yani mtu na mke wake ndio kuisambaratisha CHADEMA?. Ameondoka mwenyekiti wa Kanda Msigwa na bado CHADEMA ipo mpaka mmepanic mnaanza kuteka wanawake wa chama.
 
Morris Makoi, Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Moshi Vijijini amefanya kile kilichowashinda wengi baada ya kufanikiwq kuisambaratisha ngome ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kuung'oa mbuyu ulioshindikana.

Makoi ambaye ni Diwani wa Kata ya Okaoni (CCM), amemng'oa kada maarufu wa Chadema, Awoni Ringo na mkewe, Judith Ringo.

Ringo, mmoja wa wanasiasa wenye ushawishi mkubwa kwenye siasa za Moshi Vijijini, amewahi kuwa Diwani wa Kata ya Old Moshi Mashariki kwa kipindi cha 2010-2015. Ringo na makada wenzake wpatao 28walipkelewa hivi karibuni na viongozi wa CCM wilaya ya moshi Vijijini pamoja na ofisi ya ccm mkoa.

Akizungumza baada ya kurejea ccm,Ringo amesema amerejea CCM baada ya kuona jitihada kubwa zinazofanywa na serikali ya awamu ya sita ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea maendeleo wananchi.

Kwa upande wake Makoi amesema kurejea kwa Ringo CCM kulitokana na ushawishi wake wa siku nyingi tangu wakiwa kwenye Baraza la madiwani.

Habari zaidi na picha nitakuijia pumde.
hayo mangome yanasambaratishwa wapi wakati hakuna lolote
 
Moris Makoi mdhulumati mkubwa. Watu wanatumia chama kuficha madhaifu Yao. Ipo siku Mungu atasikia kilio cha wote walioumizwa kwa mabavu na dhulma za bwana huyu. Nilishasoma humu Uzi zinazohusu mambo yake mabivu kibao..zipo. Sio mtu safi.

Chama kiweni makini na watu kama hawa wanaonea wananchi halafu wanajigicha ndani ya sharti la kijani.

Hawa ndo wanafanya wananchi wakose Imani na chama. Hakinitendeke na chama kiache kumtetea kwa mambo yake maovu ambayo amewafanyia wananchi
Ulisoma huku au wewe mwenyewe ndio uliandika humu?


Morris Makoi ni kiongozi wa jamii ndani ya serikali.

Ukiambiwa uthibitishe mahakamani aliko dhulumu unaweza kuthibitisha?
Acha chuki mkuu.
 
Kila kukicha NGOME YA CHADEMA YASAMBARATISHWA. nadhani nyie Watu mko na Shida upstairs

..Nadhani huko Ccm mtu akisikia kuchotea hela basi anaibuka na harakati za kusambaratisha ngome feki ya Chadema.

..Ccm wanapokea ruzuku 3.2 billion kila mwezi unafikiri zina kazi gani zaidi ya kuzigawana kwa njia za kitapeli na ujanja?
 
Kila siku nasema CCM na CHADEMA wote ni wachumia tumbo waliojawa na njaa. Watawala na wapinzani wote baba yao mmoja na mama yao mmoja. Tangu nilipopiga kura kwa Dr Slaa na Mbowe tangu hapo sina hamu nao
 
..Nadhani huko Ccm mtu akisikia kuchotea hela basi anaibuka na harakati za kusambaratisha ngome feki ya Chadema.

..Ccm wanapokea ruzuku 3.2 billion kila mwezi unafikiri zina kazi gani zaidi ya kuzigawana kwa njia za kitapeli na ujanja?
Una akili sana wewe
Wana andaa matukio fake kwa kigezo ni kazi za chama
 
..Nadhani huko Ccm mtu akisikia kuchotea hela basi anaibuka na harakati za kusambaratisha ngome feki ya Chadema.

..Ccm wanapokea ruzuku 3.2 billion kila mwezi unafikiri zina kazi gani zaidi ya kuzigawana kwa njia za kitapeli na ujanja?
hahaha ila kweli aiseeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom