Morogoro: Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA yanayoongozwa na Tundu Lissu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
118,431
219,895
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba, ile wiki ya Maandamano awamu ya kwanza, inahitimishwa leo, ambapo Mjini Morogoro kunafanyika maandamano yenye lengo la kupinga Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za Uchaguzi.

Screenshot_2024-04-30-13-57-52-1.png


Mapema asubuhi wananchi walipoanza kukusanyika.

Screenshot_2024-04-30-11-11-28-1.png

Usiondoke JF kwa vile kuna mengi ambayo utaletewa kuhusu maandamano hayo
==========

Screenshot_2024-04-30-18-07-59-1.png
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba, ile wiki ya Maandamano awamu ya kwanza, inahitimishwa leo, ambapo Mjini Morogoro kunafanyika maandamano yenye lengo la kupinga Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za Uchaguzi.

Mapema asubuhi wananchi walipoanza kukusanyika.


Usiondoke JF kwa vile kuna mengi ambayo utaletewa kuhusu maandamano hayo
==========
Jana jamaa kaharibu hali ya hewa
 
Swali la uelewa, hivi kama chama mmeshawahi kaa chini na kufanya tathimini ya tija ya hayo maandamano au mnajifurahisha tu?
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba, ile wiki ya Maandamano awamu ya kwanza, inahitimishwa leo, ambapo Mjini Morogoro kunafanyika maandamano yenye lengo la kupinga Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za Uchaguzi.

Mapema asubuhi wananchi walipoanza kukusanyika.


Usiondoke JF kwa vile kuna mengi ambayo utaletewa kuhusu maandamano hayo
==========
Una-edit picha maana sioni mubashara!
 
Back
Top Bottom