Morogoro: Viongozi wa CHADEMA wakamatwa na polisi, vurugu zaibuka!

Inasikitisha sana kuona vurugu zikitokea wakati kuna uwanja mkubwa wa kuzizuia. Hii ni aibu kwa nchi yetu. Wadau wote tukae tutafakari tufanyeje jamii yetu iendelee na utamaduni wetu wa kuishi kwa amani. Lakini kwa hakika wengi tuelewe kuwa mabadiliko katika jamii ni jambo lisiloepukika. Cha msingi ni kuangalia ni jinsi gani mabadiliko haya yanakuja na kupokelewa kwa manufaa ya wananchi wote bila kujali itikadi za siasa, dini, rangi, ukabla nk.
 
Kweli hatari hii yani mpaka watu wapigwe mabomu ya machozi ndo wanaelewa kwa kitu kidogo tu kuto kitii sheria bila shuruti hivi kwani bila hayo maandamano mkutano usinge fanyika? Tuwe makini vijana wa kitanzania tusitumiwe na wanasiasi..

Huko nyuma wewe umetumiwa na mafisadi mpaka leo hujachoka tu??
 
Huu upepo hauzuiliki tena!yani nimepata "goose bumps"The Time is Now!Hakuna kutizama nyuma!Haya mambo ya mabomu hayakuanza leo,ila sasa victims wa unyanyasaji ni wengi na watanzania hawadanganyiki tena!Hizi safi sana for recruiting purposes.Hao ni wananchi waliojitolea kabisa kabisa kupambana na udhalimu na madhalimu!

Morogoro mji kasoro bahari,pamoja na unyama wa mauwaji ya wananchi wenu,tuhakikishe damu zao na nyingine zitakazomwagika ikibidi,isiwe bure!

Hata kama ni mtu mmoja ameuwawa,hilo linatosha kwa wanachadema na wapenda haki nchi nzima kuilaani serikali ya magamba na vyombo vyake vya dola!

Tunajuwa hawatachukuwa hatua yoyote madhubuti,lakini kupigania haki za waliopoteza maisha kwenye mapambano nimmuhimu kuliko ninavyoweza kusema...ni muhimu ili kukeep up the spirit,walojitolea wasidhani damu yao ama ya wananchi wenzao imepotea bila sababu.
 
ITV imetangaza habari mpasuko hivi punde kuwa mtu mmoja ameuwawa kwa kupigwa risasi kisogoni na Polisi kwenye maandamano huko Mji kasoro bahari. Je wana JF mlioko huko hembu tujuzeni ukweli wa kinachoendelea huko hivi sasa kwa sababu mahojiano na Kamanda wa Polisi mkoani huko yalikatika ghafla.
 
Joel Bendera analeta uhuni wa uwanjani kama mchezaji imekula kwake.Leo watakapofanya tathmini ya mkutano wa CDM wataona mafanikio yake na kugundua jinsi CCM kinavyoishia kukata roho kabla ya 2015.Bendera mabadiliko hayadhibitiwi kwa rungu.

Muulize AL-SAAD kule Syria nini ninampata leo and time is continuing running out him and you CCM
.
 
CCM mnajua madhara ya kuzuia visivyozuilika?, unaweza kuzuia mvua isikunyeshee kwa kiganja cha mkono?. Kwanza kwanini mnazuia maandamano kufanyika?, mnaogopa nini?, hivi kweli kuna demokrasia Tanzania?.
 
......[/QUOTE]

Nchi haitawaliki kwasababu walichakachua.Wazalendo na makamanda pamoja na wanaharakati,this is the situation to capitalize on,cheche moja huanzisha moto,tusiuzime,mwendo mdundo mpaka kielweke.

Unless waondoke madarakani wenyewe kwa amani,la sivyo mambo ya visasi yanaweza yakaja kuednelezwa since mtakuwa mmeshauwa watu wengi sana na hiyo huruma dhidi yenu inaweza isimake sense kwa wananchi wengi.Ni onyo tu ama angalizo kwa mafisadi.
 
....[/QUOTE]

Hapana walikuwa wanatii sheria ya kufanya maandamano kila ukijisikia.
 
Tundu Lissu anasema hakuna damu ya Mtanzania iliyotolewa uhai na jeshi itakayo achwa bila kupatiwa majibu,amemuambia Shilogelle atajibu kifo cha mwana Morogoro wa leo.

Atasimama mbele ya Watanzania na ajibu kwa nini ameua,anasema Shillogile na wauaji wa Arusha siku yao ipo wawe wamevaa magwanda au wawe wamevua magwanda siku yao ipo.
 
Mungu yu upande wetu ndugu zanguni, tutawashinda tu hawa mafedhuli wa sisiemu!! pipoooooooooooooooooooooozi...............Pawaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!
 
Acha uoga wewe watu wanaenda kwa mkutano wanapigwa mabomu so tutegemee nini? Unadhani ndo hatutaenda kwa mkutano? Lazima utakuwa gamba wewe.
Kuna jamaa yangu mmoja ana nickname ya "kifaru" AKA Max,last time alikuwa moro,na ninavyomfahamu,sidhani kama atakuwa gamba,I was hoping we ni the same kifaru,if not pouwa tu,ila nimependa jibu lako kwa huyo kilaza.
 
ITV imetangaza habari mpasuko hivi punde kuwa mtu mmoja ameuwawa kwa kupigwa risasi kisogoni na Polisi kwenye maandamano huko Mji kasoro bahari. Je wana JF mlioko huko hembu tujuzeni ukweli wa kinachoendelea huko hivi sasa kwa sababu mahojiano na Kamanda wa Polisi mkoani huko yalikatika ghafla.


Kijana Ally muuza magazeti aliepingwa risasi ya moto kichwani... RIP Ally....
 
Hivi wananchi tunasubiri nini kuchukua hatua dhidi ya utawala huu dhalimu.MUNGU TUPE UJASIRI
 
Tundu Lissu anasema hakuna damu ya Mtanzania iliyotolewa uhai na jeshi itakayo achwa bila kupatiwa majibu,amemuambia Shilogelle atajibu kifo cha mwana Morogoro wa leo atasimama mbele ya Watanzania na ajibu kwa nini ameua,anasema Shillogile na wauaji wa Arusha siku yao ipo wawe wamevaa magwanda au wawe wamevua magwanda siku yao ipo!!
hayo ndo maneno,wanatakiwa wayaseme tena over and over again!Hadi wananchi wote wapenda mabadiliko wayasikie!Hongera Kamanda Lissu,ushindi wa wazalendo wa hii nchi hauzuiliki tena hata kwa risasi na mabomu!when its time,nobody can resist the people's power!
 
Kwa kweli hili sasa la ccm kushindwa kusoma alama ya nyakati litakuwa zigo kwao!

Hili walilolitenda inanigusa sana.

Ngoja mwisho wao hakika yaja!
 
Back
Top Bottom