maonomakuu
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 2,516
- 1,198
Haki inadaiwa kweliIlikuaje polisi na mkuu wa Mkoa walijua hii hukumu kabla haijasomwa?
Haki inadaiwa kweliIlikuaje polisi na mkuu wa Mkoa walijua hii hukumu kabla haijasomwa?
Ni vema kama unajua wapuuzi hawana fact kwa maana wengi huoend kugeuza ukweli kuwa uongo na uongo kuwa ukweli ,fact kwa mpuuzi ni jambo lisilo wezekana hata kidogo kwa maana hawezi kuvaa uhalisia . Uko sahihi. LIKEHakuna fact kwa wapuuzi
Hivi una uhakika na ulicho kiandika?....aisee!
yaani wote wawili wameshindwa kesi?!, halafu kule kwa Wenje na Kafulila ambako ushahidi ulikuwa wazi nao wakashindwa!, Seif nae kashinda znz akaporwa ushindi!
...huu upinzani wa kinafiki wa Tanzania ili kuyafurahisha mataifa ya nje yatupe misaada hauna maana,bora ibaki ccm tu, tusipotezeane muda!
CHADEMAHuyo lijuakali ni mbunge wa chama gani kiongozi?
Mahakama imeshatenda haki jimbo la Kilombero, bado tunasubiri itafanyaje Mlimba. Mwambie Abubacary Assenga aendelee na kazi yake ya ukatibu tawalaKwa hiyo mahakama imetenda haki au haijatenda haki? Kwa hiyo mlikuwa na na nakala ya hukumu kabla?
CHADEMA
Mzee Tupatupa
hahahaHapo sawa!. Hatutegemei jambo jema kutoka Ccm.
Uwandike vizuriNiko Mahakamani Natekeleza Majukumu Yangu ya Kazi Kiuwandishi
Ondoa shaka,utajua muda si mrefu. Nunua kifurushi kingine ubaki humu JF. Utajua hatma ya Mbunge Suzan Kiwanga wa Mlimba. Watani zangu CHADEMA leo wana mechi ngumu. Moja tayari!Yule wa mlimba vipi?