kinguo
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 440
- 315
Hiyo safi sanaaa............
Ukichanganya na ushindi wa kishindo wa uchaguzi wa viongozi wa vitongoji huko pande za huko huko Moro - Doma.............
Ukichanganya na zile 'mvua' 15 alizopata yule Askari aliyemuua Mwangosi kwenye hukumu ya majuzi kule Iringa.........
Ukichanganya kuweweseka kwa hali ya juu kwa makada wa CCM na Msajili wao wa vyama vya siasa kuhusu operesheni Ukuta inayotazamiwa kuanza Septemba mosi......
Hiyo tafsiri yake ni kuwa ni ushindi kwa Ukawa kwa kila pande za nchi............
Yule askari hatofungwa. Ni zuga tu. unaweza kukuta anaenda kuishi loliondo na kazi yake kama kawa.