OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,824
- 106,614
figganigga katika ulizoniboa ni leo,umeleta haabari ya uongo mwanzo breaking news kwamba kiwanga ametenguliwa.kwa nini unaleta habari mbaya bila kujiridhisha.umezingua sana leo Kamanda
unajua kusoma?sijaelewa hapo mshindi kajichanganya ndio nini
ndomana nimeaanisha hilo neno sasa nisingekuwa najua kusoma ningeliletaje hilo neno ndugu yangu,hapo sijaelewa hizo sababu za mtu kupewa ushindi,nieleweshe kama umeelewaunajua kusoma?
Acha kupotosha ummaMajimbo yote ya Kilombero na Mlimba yametenguliwa ushindi wake!
pamoja na uliyemnukuu kuandika kwa wino mwekundu "Mashahidi kujichanganya" wewe unasema "mshindi kujichanganya".umegeuza simu?ndomana nimeaanisha hilo neno sasa nisingekuwa najua kusoma ningeliletaje hilo neno ndugu yangu,hapo sijaelewa hizo sababu za mtu kupewa ushindi,nieleweshe kama umeelewa
Kutenguliwa maana yake nini? Mods huyu mnaweza muweka mahali salama kwa uzushi?Majimbo yote ya Kilombero na Mlimba yametenguliwa ushindi wake!
habari ya Katumbi ni ushahidi kwamba Afrika tunahitaji kutawaliwa tenaInawezekana huyu jaji alipitia ile habari ya Moise Katumbi na ikamgusa!
Hivi una uhakika na ulicho kiandika?
Naona unaona aibu basi sema mahakama imetenda haki.. Teh teh....yes nina hakika na nilichokiandika, kulingana na taarifa ya awali iliyoletwa hapa; kwamba wote wameshindwa!
Hiyo safi sanaaa............View attachment 372825
Leo ni hukumu kesi ya kupinga matokeo ya ubunge jimbo la Kilombero na Mlimba.
Kutokana na majimbo hayo kuwa na historia ya Vurugu zinazotokana na matukio ya kisisasa, jeshi la Polisi limeimarisha ulinzi mkali katika viwanja ya ukumbi wa Halmashauri ya Kilombero inakosikilizwa kesi ya mbunge wa jimbo hilo na katika mahakama ya wilaya, inakosikilizwa kesi ya mbunge wa jimbo la Mlimba.
Kesi ya Kilombero na Mlimba zinasikiliziwa Sehemu moja.
View attachment 372830
Mbunge wa jimbo la Mlimba Mkoa wa Morogoro, Suzan Kiwanga (CHADEMA)
View attachment 372892
Mbunge wa Jimbo la Kilombero Peter Lijualikali (CHADEMA)
UPDATES;
1. Mh. PETER AMBROS LIJUALIKALI ametangazwa kuwa Mbunge halali wa Ifakara mjini.
SABABU ZA USHINDI;
- Mashahidi Kujichanganya.
2. Mbunge wa jimbo la Mlimba kupitia CHADEMA Suzan Kiwanga, ameshinda kesi ya uchaguzi katika Mahakama Kuu ya Mkoa wa Morogoro.
- Kutopeleka Malalamiko Kamati ya Maadili.
Umechenji mada mkuuUKUTA!!
Kama alibomoa nyumba,milima ya mawe na kuchimba barabara nchi nzima UKUTA Atashindwa!!!!
Watakao ushabikia Huo UKUTA watashikishwa Ukuta wao.
pamoja na uliyemnukuu kuandika kwa wino mwekundu "Mashahidi kujichanganya" wewe unasema "mshindi kujichanganya".umegeuza simu?
pole ndugu yangu ungenielewesha vizuripamoja na uliyemnukuu kuandika kwa wino mwekundu "Mashahidi kujichanganya" wewe unasema "mshindi kujichanganya".umegeuza simu?
Tulikuwa tumedanganywa hivyo mara ya kwanzaAcha kupotosha umma
Majimbo yote Ukawa wameshinda(Mlimba na Kilombero)