Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,836
- 12,016
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 32 kujeruhiwa kufuatia ajali ya Treni iliyotolewa leo Kilosa mkoani Morogoro baada ya Lori kugonga treni hiyo. Kamanda wa Jeshi la zimamoto Mkoa wa Morogoro, Goodluck Zelote amethibitisha.
=====
=====