CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Morogoro kimepata pigo kutokana na kifo cha Katibu wa Mkoa huo, Asha Kipangula, aliyefariki leo asubuhi katika Hospitali ya TMJ, Dar es Salaam.
Habari za kifo hicho zimethibitishwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa, Mhandisi Petro Kingu.
Hata hivyo, taarifa za awali zinasema mwili wa marehemu utasafirishwa kesho kwenda mkoani Iringa kwa maziko yatakayofanyika fanyika kesho kutwa.
Kipangula alihamia Morogoro mwaka 2009 akitokea Tabora, lakini wakati anahamia alikuwa na wadhifa wa Katibu Msaidizi wa CCM Mkoa.
Habari za kifo hicho zimethibitishwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa, Mhandisi Petro Kingu.
Hata hivyo, taarifa za awali zinasema mwili wa marehemu utasafirishwa kesho kwenda mkoani Iringa kwa maziko yatakayofanyika fanyika kesho kutwa.
Kipangula alihamia Morogoro mwaka 2009 akitokea Tabora, lakini wakati anahamia alikuwa na wadhifa wa Katibu Msaidizi wa CCM Mkoa.