Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 16,099
- 24,338
nipo MPwewe tayari ushamaliza?..na umefika?
nipo MPwewe tayari ushamaliza?..na umefika?
Okay pole..nipo MP
vip wewe ulipewa au ni mwanafunzi upo kwa wazazi?Okay pole..
Sijaoa bado..so morning glory nayopataga pale baby anapokuja kwa zile come and stay za few days ni haramu according to your informationvip wewe ulipewa au ni mwanafunzi upo kwa wazazi?



π_πKumbe wewe ni Ke? AyseeWanawake tunapaswa kuelewa kwamba, kabla ya kulala usiku lazma uoge, jisafishe maana alfajiri mwanaume akili zake "zinahamia kichwa cha chini" kati ya vichwa viwili alivyo nvyo.
baada ya hapo, kile kichwa kitataka joto, mwachie mwanaume apande juu yako achezee gitaa, ndiyo raha ya ndoa na ukifika kazini kama umepata tendo unakuwa na ufanisi mzuri sana, hata mahakamani wakija mawakili unawaona walivyo werevu, kama wamefanya morning glory, ni nzuri kiafya
mwe, mwe, kausha.
Sisi tunahitaji morning glory, pia inatufanya tusitamani ma'house boy na shamba boy, unajua ukiikosa hii sometimes unamtamani hata dereva wako

okay madamEeeh unaonekana unapenda upuzziMorning glory tamu sana.na hasa wote mkiwa mnapendana kwa dhati
Una shida mahalaMaisha yote, honey moon inaisha siku mmoja akifa:
Mimi tangu nilewe ni kama nipo peponi, yaani ni kuulalia tu, nikigeuka huku huyu hapa, nikigeuka kule huyu hapa, rahaa
Hapana mimi mwenyeweHuu uzi umeandikiwa na Kungwi?
Time ya kujiandaa unapiga mechi moja matata ya fasterHivi kwa wale wa Dar mnaokaa Mbezi Msumi.Chanika,Boko na kwingineko,ambapo ili uwahi kazini kule Posta inabidi uamke saa 10 alfajiri,hii Morning Glory huwa mnaipata kweli...?
Ndoa inajengwa na sex, ngono ni kwa nyie vijana wa wa shule, siyo tu kutoendekeza, muache kabisaUsiendekeze sana ngono mjomba..
Hivi kuna wanaume hapa duniani hawawezi kufikisha hata dakika 40 tu ??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mumeo kapata kilicho chema, mna miaka mingapi kwenye ndoaha ha h ha haaaaaaaaaaaaaa !
Mimi huwa naamka mida hiyo, na huwa naanza kumgusa mume wangu, rungu likiamka ananipa glory yangu nikienda kazini nakuwa mwepesii na furaha siku nzima, na siwi na mawazo kabisa