jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 21,692
- 41,852
We ni ke au me..?
utamu wa hii kitu wacha kabisa, tunao pigwaga asubuhi ni balaa, unapata msisimko mno
utamu wa hii kitu wacha kabisa, tunao pigwaga asubuhi ni balaa, unapata msisimko mno
msichana, wewe je?We ni ke au me..?
Kwenye chumba kimoja cha kupanga ayo yote mnayatolea wapiHivi nyie watu mnaishi vipi????
Mi mbona naenjoy sana mapenzi na mtu wangu!! Tatizo naona mnaishi maisha ya fantasy
Tafuta simple girl mwenye sura ya kawaida utafurahia maisha,
Ukihangaika na wenye "sura za kutokea" utalia daily
kwa niniSisi bachelor hii haituhusu!
Kwenye chumba kimoja cha kupanga ayo yote mnayatolea wapi au peke yangu ndo sina nyumba humu JFHivi nyie watu mnaishi vipi????
Mi mbona naenjoy sana mapenzi na mtu wangu!! Tatizo naona mnaishi maisha ya fantasy
Tafuta simple girl mwenye sura ya kawaida utafurahia maisha,
Ukihangaika na wenye "sura za kutokea" utalia daily
Usimwache aondoke asubuhi bila kupata hudumaBaridi ya Leo Hapa Mwanza kama hujapata morning glory kazi haziendi.
Jitahidi sana kufanya mapenzi asubuhi, walau ukojoleshwe mara moja, inakupa kujiamini sana, pia ni njia ya asili ya kusafisha uke.
pia damu inakuwa inazunguka vyema
Ni kweli hata mimi, kama baba ameniudhi usiku huwa ana ujanja flani, ikifika saa kumi usiku utaona ananivuta anaanza kutomasa na kumaliza yake, hapo tukiamka aah tunacheka na kuoga pamoja, kila kitu kibaya kinasahaulikaMleta mada uko sahihi sana morning glory ina nguvu sana hata kama mlikuwa mmekosana Morning Glory inatibu, kila aina ya ugonjwa vipere, mapunye, fangasi za kimahusiano, mabachelor hawawezi kuelewa wao wanawaza negatives tu kuhusu ndoa
Ni kweli hata mimi, kama baba ameniudhi usiku huwa ana ujanja flani, ikifika saa kumi usiku utaona ananivuta anaanza kutomasa na kumaliza yake, hapo tukiamka aah tunacheka na kuoga pamoja, kila kitu kibaya kinasahaulika



ile kitu humaliza bifu loloteHakikisha mnaoga wote baada ya morning glory, na kila mtu amsugue mwenzie , pia kupakana mafuta, mtafurahia maishaile kitu humaliza bifu lolote
Huyo ni mke au mchepuko?
Unazungumzia kipindi cha honey moon?
Move za kikorea Zinazingua watu sn, demu la tandika, manzese, majimatitu kwa mtogole yeye anawaza kuwahi buguruni kuchukua vichwa vya kuku, utumbo, ngozi na miguu yake akaange, ukimwambia sijui morning glory anaweZa kukutukana dadeki
MKEHuyo ni mke au mchepuko?
unamfundisha taratibu, hakikisha mme wako anakupa morning glory kabla ya kwenda kanisani ama harusini, hauta tamani wanaume wengineMove za kikorea Zinazingua watu sn, demu la tandika, manzese, majimatitu kwa mtogole yeye anawaza kuwahi buguruni kuchukua vichwa vya kuku, utumbo, ngozi na miguu yake akaange, ukimwambia sijui morning glory anaweZa kukutukana dadeki
Mkuu umeongea ukweli tupu..Huyo mke ambaye anaweza kuamka saa 10 alfajiri aanze kulamba asali na kuvua shumizi huku anakupeti peti anapatikana duka gani mkuu...???
Maana wengi tulionao tunafahamu wakiguswa hata tako tu lazma wafyumuna kusindikizia na kauli mojawapo katika hizi:
"Nshakwambia staki usumbufu nikiwa nimelala"
"Ntakupa nikiamka"
"Ukoje wewe niache nilale bana"
"Nimelala bana sitaki kero"
"Eeh eh umeanza usumbufu wako tayari"
"Argh, yani mtu asilale jamani"
Hawa watu matata sana mkishazoeana,mambo haya pale mwanzoni mnapoanza uhusiano huwezi kuyasikia...Huyo mke ambaye anaweza kuamka saa 10 alfajiri aanze kulamba asali na kuvua shumizi huku anakupeti peti anapatikana duka gani mkuu...???
Maana wengi tulionao tunafahamu wakiguswa hata tako tu lazma wafyumu 🤣🤣🤣 na kusindikizia na kauli mojawapo katika hizi:
"Nshakwambia staki usumbufu nikiwa nimelala"
"Ntakupa nikiamka"
"Ukoje wewe niache nilale bana"
"Nimelala bana sitaki kero"
"Eeh eh umeanza usumbufu wako tayari"
"Argh, yani mtu asilale jamani"
ha ha h ha haaaaaaaaaaaaaa !Huyo mke ambaye anaweza kuamka saa 10 alfajiri aanze kulamba asali na kuvua shumizi huku anakupeti peti anapatikana duka gani mkuu...???
Maana wengi tulionao tunafahamu wakiguswa hata tako tu lazma wafyumu 🤣🤣🤣 na kusindikizia na kauli mojawapo katika hizi:
"Nshakwambia staki usumbufu nikiwa nimelala"
"Ntakupa nikiamka"
"Ukoje wewe niache nilale bana"
"Nimelala bana sitaki kero"
"Eeh eh umeanza usumbufu wako tayari"
"Argh, yani mtu asilale jamani"
Yaani unikate stimu ya usingizi wa asubuhi kisa Morning Glory???No way!!! unakula ban