‘Morning Glory’ kwa wanandoa

‘Morning Glory’ kwa wanandoa

Hivi nyie watu mnaishi vipi????

Mi mbona naenjoy sana mapenzi na mtu wangu!! Tatizo naona mnaishi maisha ya fantasy

Tafuta simple girl mwenye sura ya kawaida utafurahia maisha,

Ukihangaika na wenye "sura za kutokea" utalia daily
Kwenye chumba kimoja cha kupanga ayo yote mnayatolea wapi
 
Hivi nyie watu mnaishi vipi????

Mi mbona naenjoy sana mapenzi na mtu wangu!! Tatizo naona mnaishi maisha ya fantasy

Tafuta simple girl mwenye sura ya kawaida utafurahia maisha,

Ukihangaika na wenye "sura za kutokea" utalia daily
Kwenye chumba kimoja cha kupanga ayo yote mnayatolea wapi au peke yangu ndo sina nyumba humu JF
 
Baridi ya Leo Hapa Mwanza kama hujapata morning glory kazi haziendi.
Jitahidi sana kufanya mapenzi asubuhi, walau ukojoleshwe mara moja, inakupa kujiamini sana, pia ni njia ya asili ya kusafisha uke.
pia damu inakuwa inazunguka vyema
Usimwache aondoke asubuhi bila kupata huduma
 
Mleta mada uko sahihi sana morning glory ina nguvu sana hata kama mlikuwa mmekosana Morning Glory inatibu, kila aina ya ugonjwa vipere, mapunye, fangasi za kimahusiano, mabachelor hawawezi kuelewa wao wanawaza negatives tu kuhusu ndoa
Ni kweli hata mimi, kama baba ameniudhi usiku huwa ana ujanja flani, ikifika saa kumi usiku utaona ananivuta anaanza kutomasa na kumaliza yake, hapo tukiamka aah tunacheka na kuoga pamoja, kila kitu kibaya kinasahaulika
 
Hahaa
Move za kikorea Zinazingua watu sn, demu la tandika, manzese, majimatitu kwa mtogole yeye anawaza kuwahi buguruni kuchukua vichwa vya kuku, utumbo, ngozi na miguu yake akaange, ukimwambia sijui morning glory anaweZa kukutukana dadeki
 
Move za kikorea Zinazingua watu sn, demu la tandika, manzese, majimatitu kwa mtogole yeye anawaza kuwahi buguruni kuchukua vichwa vya kuku, utumbo, ngozi na miguu yake akaange, ukimwambia sijui morning glory anaweZa kukutukana dadeki
unamfundisha taratibu, hakikisha mme wako anakupa morning glory kabla ya kwenda kanisani ama harusini, hauta tamani wanaume wengine
 
Huyo mke ambaye anaweza kuamka saa 10 alfajiri aanze kulamba asali na kuvua shumizi huku anakupeti peti anapatikana duka gani mkuu...???

Maana wengi tulionao tunafahamu wakiguswa hata tako tu lazma wafyumu 🤣🤣🤣 na kusindikizia na kauli mojawapo katika hizi:
"Nshakwambia staki usumbufu nikiwa nimelala"

"Ntakupa nikiamka"

"Ukoje wewe niache nilale bana"

"Nimelala bana sitaki kero"

"Eeh eh umeanza usumbufu wako tayari"

"Argh, yani mtu asilale jamani"
 
Huyo mke ambaye anaweza kuamka saa 10 alfajiri aanze kulamba asali na kuvua shumizi huku anakupeti peti anapatikana duka gani mkuu...???

Maana wengi tulionao tunafahamu wakiguswa hata tako tu lazma wafyumu na kusindikizia na kauli mojawapo katika hizi:
"Nshakwambia staki usumbufu nikiwa nimelala"

"Ntakupa nikiamka"

"Ukoje wewe niache nilale bana"

"Nimelala bana sitaki kero"

"Eeh eh umeanza usumbufu wako tayari"

"Argh, yani mtu asilale jamani"
Mkuu umeongea ukweli tupu..
 
Huyo mke ambaye anaweza kuamka saa 10 alfajiri aanze kulamba asali na kuvua shumizi huku anakupeti peti anapatikana duka gani mkuu...???

Maana wengi tulionao tunafahamu wakiguswa hata tako tu lazma wafyumu 🤣🤣🤣 na kusindikizia na kauli mojawapo katika hizi:
"Nshakwambia staki usumbufu nikiwa nimelala"

"Ntakupa nikiamka"

"Ukoje wewe niache nilale bana"

"Nimelala bana sitaki kero"

"Eeh eh umeanza usumbufu wako tayari"

"Argh, yani mtu asilale jamani"
Hawa watu matata sana mkishazoeana,mambo haya pale mwanzoni mnapoanza uhusiano huwezi kuyasikia...
 
Huyo mke ambaye anaweza kuamka saa 10 alfajiri aanze kulamba asali na kuvua shumizi huku anakupeti peti anapatikana duka gani mkuu...???

Maana wengi tulionao tunafahamu wakiguswa hata tako tu lazma wafyumu 🤣🤣🤣 na kusindikizia na kauli mojawapo katika hizi:
"Nshakwambia staki usumbufu nikiwa nimelala"

"Ntakupa nikiamka"

"Ukoje wewe niache nilale bana"

"Nimelala bana sitaki kero"

"Eeh eh umeanza usumbufu wako tayari"

"Argh, yani mtu asilale jamani"
ha ha h ha haaaaaaaaaaaaaa !
Mimi huwa naamka mida hiyo, na huwa naanza kumgusa mume wangu, rungu likiamka ananipa glory yangu nikienda kazini nakuwa mwepesii na furaha siku nzima, na siwi na mawazo kabisa
 
Back
Top Bottom