Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Kuna siku za derby mkuuDakika 40 ???
Unafanya mazoezi ya marathon
Kama mnapendana dakika 5-10 wote mnakua mmeridhika kbs
Kuna siku za derby mkuuDakika 40 ???
Unafanya mazoezi ya marathon
Kama mnapendana dakika 5-10 wote mnakua mmeridhika kbs
Sio kila siku Mkuu, si mambo ya ratiba tuKiukweli naweza fanya hivyoo ila kulamba ile fimbo inaotoa hapa na pale nope.
Namapenzi sio chai inywewe kila saa jamani.
Kuna kipindi mtu anamatatizo ukitaka mmeo akupende sio lazima uwe mtumwa wa mapenzi kwa maana huu ni utumwa wajameni kila kitu ni kupeana ratiba sio kukurupuka na unaishi na familia sio fresh wanaume wakujitolea muhanga wachache wamebaki eti.
Natofauti ya sasa na zamani ni hili maisha ni magumu huwazi kulalana unawaza hela umsaidie mumeo majukumu hata kama machache ni sawa tu atashukuru.
Kwa waelewa mapenzi kuna siku zinapangwa hadi watu husafiri kuwa na utulivu ili afanye tu tendo kwa amani.
Mudada au mukaka asante kwa kutukumbusha wajibu .
Ipo akilini ila mimi nalea siwezi kufanya haya kwa sasa ni ngumu.
True huwezi kufunuliwa kila saa hakuna mtu anayeweza hilo kila siku eti hulali na nguo kisa uliwe dah! Kuna life hapo na ni watoto mkifunuana tu kila saa mtatimiza majukumu yenu saa ngapi?Sio kila siku Mkuu, si mambo ya ratiba tu
Kwahyo hutaki kufuniliwa kabisaTrue huwezi kufunuliwa kila saa hakuna mtu anayeweza hilo kila siku eti hulali na nguo kisa uliwe dah! Kuna life hapo na ni watoto mkifunuana tu kila saa mtatimiza majukumu yenu saa ngapi?
Tell me.
Eh sipendi masaa yote kwani ni chai ya asubuhi halafu sasa mtu aniambie nimfunue makenge yake machafu unyonye nyonye uchafu huu ni ukenge huko ni sehemu chafu panatakiwa pakutane na sehemu chafu yenzie .Kwahyo hutaki kufuniliwa kabisa
Hayo mambo ya asubuhi tu!True huwezi kufunuliwa kila saa hakuna mtu anayeweza hilo kila siku eti hulali na nguo kisa uliwe dah! Kuna life hapo na ni watoto mkifunuana tu kila saa mtatimiza majukumu yenu saa ngapi?
Tell me.
Sasa sio kila asubuhi kwanza huo muda watu hukimbizana na maisha sio muda wakuzimana tu.Hayo mambo ya asubuhi tu!
sa kama unafanya kazi kariakoo au posta na unaishi kimara unashindwaje kuamka sa11, mkapashana mkaoga wote mkasepa na mwendokasiSasa sio kila asubuhi kwanza huo muda watu hukimbizana na maisha sio muda wakuzimana tu.
Ila labda wazungu wanaweza jambo hilo .
Aisee tuko tofauti .sa kama unafanya kazi kariakoo au posta na unaishi kimara unashindwaje kuamka sa11, mkapashana mkaoga wote mkasepa na mwendokasi
Kwa sisi wagalatia tunakubalika kweli?hahaha,fanya mpango utembelee zenji wamejazana kibao wanatafuta waume wastaarabu wa kuwaoa.
rangi zinafahamika bhanaAisee tuko tofauti .
Kila nyumba inasheria zake .
Sheria zangu ni kutafuta hela tu.
Na kulalana ni baada ya kuzipata .
Nakama mtu anahamu na mwenzie basi weekend .
Watoto waende kwa bibi yao hadi ijumatatu.
Ila kila saa asubuhi na jee ukiwa kwenye rangi nyekundu itakuwaje?
Unajua sisi wamasai usiongee kwa mafumboo ongea ueleweke bro .rangi zinafahamika bhana
Umepewa bureUnajua sisi wamasai usiongee kwa mafumboo ongea ueleweke bro .
Maana unapenda mapenzi hujui bila chakula hayo mapenzi huwezi kuyafanya??
Hata kama unadaiwa kodi , hata kama unanjaa sidhaniUmepewa bure
Toa bure
hapo ndio tatizo lilipo.Kwa sisi wagalatia tunakubalika kweli?