Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 3,987
- 8,085
Habari zenu jamani, Beberu nawasalimu kwa bashasha kubwa,
Kwa vipindi vya Asubuhi ndani ya nchi hii hakuna kipindi bora zaidi ya Morning Express cha UFM.
Napendea kipindi hiki vitu vifuatavyo:
✓ Wanatumia kiswahili sanifu sana, Hakuna kiswanglish huku
✓ Wanareport kwa utaratibu, hakuna kupandiana juu kama Wasafi au Clouds 360
✓ Hawa jamaa hawana ujuaji, wao kama ni issue ya utalaamu lazima watamleta mtaalamu wa eneo husika, redio nyingi watangazaji wana ujuaji hadi wanakera, (hususani wawe wanachambua taaluma yako halafu ushuhudie wanavyoongea uongo kwa kujiamini)
✓ Wanahoji watu wazito kwa uhuru sana, UFM kumpigia simu mkuu wa mkoa, au waziri ni chap tu, na wanamhoji kwa utulivu
✓ Wanautulivu sana, hawana kelele, ni rahisi mtu kukuuliza kama unasikiliza BBC au DW kumbe upo na UFM tu
Na nyingine nyingi, Mimi Beberu nawapongeza, kila morning kabla sijaenda kujenga nchi (wakati najiandaa) lazima niwasikilize, kazeni sana
Kwa kifupi nawapa maua yenu
Wenu yule yule wa siku zote
Beberu J
Kwa vipindi vya Asubuhi ndani ya nchi hii hakuna kipindi bora zaidi ya Morning Express cha UFM.
Napendea kipindi hiki vitu vifuatavyo:
✓ Wanatumia kiswahili sanifu sana, Hakuna kiswanglish huku
✓ Wanareport kwa utaratibu, hakuna kupandiana juu kama Wasafi au Clouds 360
✓ Hawa jamaa hawana ujuaji, wao kama ni issue ya utalaamu lazima watamleta mtaalamu wa eneo husika, redio nyingi watangazaji wana ujuaji hadi wanakera, (hususani wawe wanachambua taaluma yako halafu ushuhudie wanavyoongea uongo kwa kujiamini)
✓ Wanahoji watu wazito kwa uhuru sana, UFM kumpigia simu mkuu wa mkoa, au waziri ni chap tu, na wanamhoji kwa utulivu
✓ Wanautulivu sana, hawana kelele, ni rahisi mtu kukuuliza kama unasikiliza BBC au DW kumbe upo na UFM tu
Na nyingine nyingi, Mimi Beberu nawapongeza, kila morning kabla sijaenda kujenga nchi (wakati najiandaa) lazima niwasikilize, kazeni sana
Kwa kifupi nawapa maua yenu
Wenu yule yule wa siku zote
Beberu J