De Javu
JF-Expert Member
- May 5, 2010
- 264
- 33
Mkuu si useme tu kama ni wewe mwenyewe? :A S-coffee:Kuna jamaa ana vigezo vyote ila ana watoto wawili wa nje.
Mkuu si useme tu kama ni wewe mwenyewe? :A S-coffee:Kuna jamaa ana vigezo vyote ila ana watoto wawili wa nje.
Karibu sana na kila la heri ila kina CPU wa mzaha wako wengi so kuwa mvumilivu sana dear
Sikukatishi tamaa but 33+ years wanaume wengi washaoa au wana wachumba.try 29 yrs or less
We CPU si ulifaulu usaili kwa Lizzy sasa hapa tena unafanya nini au yako ni ndoa ya wake wengi ?Mkuu, hebu soma kijana alivyomjibu hapo chini, mi wala sitanii naongea kweli. Nipo singo na Bado kabisa kufika 33 au zaid kama anavyotaka mdada jena
Naona anatafuta nyumba ndogo mapema kabisa hata kabla hajaoa ili akioa asipate shidaWe CPU si ulifaulu usaili kwa Lizzy sasa hapa tena unafanya nini au yako ni ndoa ya wake wengi ?
Hii naifikisha kwa Liz pronto labda atarudisha majeshi lol!Naona anatafuta nyumba ndogo mapema kabisa hata kabla hajaoa ili akioa asipate shida
mhh nami huwa najiuliza hivyohivyo:hand:Ka kwangu ni kajiswali,najua wengi hatujuani humu na wengine for some reasons wanafahamiana,je kuna couple yoyote ambayo walifanikiwa kuoana baada ya kufahamiana through JF?
We CPU si ulifaulu usaili kwa Lizzy sasa hapa tena unafanya nini au yako ni ndoa ya wake wengi ?
Ka kwangu ni kajiswali,najua wengi hatujuani humu na wengine for some reasons wanafahamiana,je kuna couple yoyote ambayo walifanikiwa kuoana baada ya kufahamiana through JF?
Naona anatafuta nyumba ndogo mapema kabisa hata kabla hajaoa ili akioa asipate shida
Hii naifikisha kwa Liz pronto labda atarudisha majeshi lol!
Uporoto1
Yule binti tatizo inaonyesha wazi hajaridhika na CPU coz ikitokea mtu anaomba uchumba au mke basi anakuwa wa kwanza ku-apply
Mi nilihangaika nae miezi mitatu mara yuko hot mara cold nikaachia ngazi, maneno yako yana ukweli flani.
Huyu hapaKa kwangu ni kajiswali,najua wengi hatujuani humu na wengine for some reasons wanafahamiana,je kuna couple yoyote ambayo walifanikiwa kuoana baada ya kufahamiana through JF?
Hata mimi niliwahi kuja na ombi hapa la kutafuta mke...... sikufich dada yangu nilipata..... na tayari tumemeshajitia pingu za maisha na Mtoto wa kwanza wa kike (Blanca) tumepata.....na sasa tuko wote huku, mimi nabeba mabox na yeye anamalizia chuo...
so usikate tamaa dada yangu
Request zake ni 95% funny
Umri wako hauujui mpaka uweke kati ya 30-33? Nadhan kama umri umeshindwa utaja waz hata kuna mambo mengine utafcha ivoivoWana JF, mimi ni mwanadada na leo nimeona nijitoe muhanga kabisa maana ninahitaji mume/mchumba. Niko tayari kupokea kukosolewa ila kwa yule aliyeko kwenye shinda kama yangu tafadhali ni PM.
Mimi ni Mkristo ninayempenda Mungu na ninahofu ya Mungu ndani yangu, tayari niko kwenye umri wa kati ya 30-33 na ninahitaji mume wa kati ya 33 na kuendelea. Awe na elimu ya kujitosheleza, mfanyakazi au aliyejiajiri. Kabila lolote Tanzania na pia awe Mkristo. Hili swala naomba tu mchukulie kwangu ni kitu halisi hapa sina utani na wala siko kwa ajili ya kumpotezea mtu muda. Na katika hili pia namshikirisha Mungu nikiamini mume/mke mwema anatoka kwa Bwana. Na pia kwa wale watakao nishauri na kunitia moyo kwenye hili nawashukuru. Kaka zangu popote pale ulipo na unajiona kwelunahitaji mke naomba uni PM lakini kama ni swala la mzaha au kujaribisha naomba usipoteze muda.
Mdogo sana kua mume!