Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,160
Wrong analysis.
bring yours.
Wrong analysis.
Wengi ambao tuliunga mkono na wale ambao ni mashabiki wa CDM tulitarajia kwa CDM kufanya vizuri zaidi
MM Demokrasia katika nchi zetu hizi za dunia ya tatu bado sana na kusema usishiriki uchaguzi bado itakuwa sio dawa, na ukishiriki ukashidwa bado sio kigezo cha kujiuzulu, maanda MM ujue hata haya leo tunayaona ni matokeo ya ushiriki usiokuwa na kikomo wa CDM katika chaguzi hizo ndogo.
Zaidi ya hayo yote Majimbo hayo 23 waliyoyapata katika uchaguzi mkuu 2010 ni matokea ya kutokata tamaa, na hata kama ikitokea wameshindwa Arumeru Mashariki bado watakuwa kunakitu wamekijenga katika chama.
Pia tuwape pongezi kwa kitendo chao cha kutokata tamaa kwa muda wote huo katika mizizi ya fitna za kila aina toka kwa watawala.
Ukiendaa kucheza mpira ukichezewa rafu ukaja kushindwa husingizii nilichezewa rafu, vaa shin guard. Hayo malalamiko unayoyasema tunayasikia hata CCM wanalalamika. Mwisho wa siku, umelambwa magoli.
Sasa wewe unasema nini kuhusu Josephine kuwa kinara makao makuu mpaka "software za mahesabu" kuweka yeye? walinzi wa kanisa lake kulipiwa na chama, posho ya hausigeli wake kuliko yako. Halafu anadanganya umma kuwa mkewe, hata akiwa mkewe ndyo yafikie hayo? hapo hajaolewa bado, akiolewa?
Na. M. M. Mwanakijiji
Kuna namna moja tu ya kumfanya Nassari kuwa Mbunge – kupiga kura! Siyo kuzomea, siyo kulumbana, siyo kulipiza kisasi, siyo kukashifu wengine – kupiga kura. Kashfa haipigi kura, kuzomea hakupigi kura na malumbano hayapigi kura. Chama ambacho kitahamasisha mashabiki wake kupiga kura kwa wingi ndicho kitakachoshinda. Ngoja niwape mahesabu ya haraka haraka: Mgombea wa CCM mwaka 2010 marehemu Jeremiah Sumari alipata kura 34,661 wakati mgombea wa CDM ambaye anagombea sasa Joshua Nassari alipata kura 19,123. Tofauti kati yao ni kura 15,538.
Ni kweli ushindi unapatikana kwa kutumia mikakati ilyopangwa kimkakati. Ushauri wa MK una asilimia kubwa ya mambo ya kufanyia kazi ili kulichukua jimbo la Arumeru Mashariki.
Huo ujumbe tayari unaeleweka tunataka ushindi - nothing but victory. Kama watu wanataka kutuma ujumbe kwa magamba wanaweza kuwaandikia barua ndefu ya kuwakataa.
kwani hizi ni chaguzi za kimataifa? hahahahahaaaa....Unapoenda na timu au uongozi wa timu ambao unaenda kwenye mechi 8 za kimataifa na katika hizo zote timu inafungwa kuendelea na kocha
Na. M. M. Mwanakijiji
Rekodi ya uongozi wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) linapokuja suala la uchaguzi mdogo ni rekodi mbaya na ambayo ingetosha kabisa kusababisha uongozi huo kujiuzulu mapema zaidi.
Niandikie: mwanakijiji@jamiiforums.com