More pictures of Two Rivers Mall..largest mall in SS Africa outside S.A

Kwikwikwikwi. Kwanza matusi weka pembeni. Mimi najua sana kutukana.
Kwikwikwi. Unaongelea SGR ipo wapi? Mbona sisi ipo miaka mingi tu. Nyie ndio mnajenga sasa hivi. Sisi ipo tangu miaka ya 60. Tafuta inaitwa TAZARA. Halafu tumeanza kuijenga reli ya kati. Inaunganisha Rwanda, Burundi, Uganda na Congo.

Sasa nimekuuliza. Kwa nini njaa inawatesa kila siku?
Kwanini madaktari wanagoma kila kukicha?
Je, unaongelea nini Nairobi kuwa largest slum in the world?
Vipi kuhusu rushwa? Mbona wazee ndio wanakula nchi yenu tu?
Tumewagonga bomba la mafuta. Kwikwikwi
Tumekataa visa ya pamoja kwikwikwi
Tumekataa EPA kwikwikwi
Tumefunga bolongoja gate kwikwikwi
Tumekataa kupunguza work permit kwikwikwi
Nyie ni vibaraka wa wazungu nani asiye wajua!!?
Je uchumi wenu huo mnao jitapa nao yaan Gdp ya $69m huku sisi tukiwa na $50m. Mbona gape ndogo sana? Wakati etiopia wapo na $70m huku Nigeria $250m

Sasa nyie mwajivunia nini? Kama sio ushamba tu.

Yaani unajivunia majengo marefu!!?
Mbona Dubai ipo na mejengo marefu lakini uchumi wao hauwezi zidi marekani.

Acha ushamba kaupuku wewe.

Hapo pekundu acha uongo bwana!...mlichonacho ni CAPE GAUGE .
KENYA RELI HIY CAPE GAUGE, ILIJENGWA NA MALKIA WA HIMAYA YA AFRIKA MASHARIKI WAKATI HU, 1800 A.D HATA KABLA TANGANYIKA HAIJAWA NCHI, RELI HII ILIUNGANISHA PIA UGANDA.na hamjawai kumiliki STANDARD GAUGE!
TAZARA ilijengwa na mchina baadae sana.
 
Wewe upo mbele yetu kwa mambo kadha wa kadha. Laki na sisi vivyo hivyo tunawazidi vitu vingi tu. Kwa hiyo huwa nawashangaa sana mnapojitapa kuws mpo juu.

Wewe unapoongelea GDP unaelewa lengo la GDP? Hizo ni ratios tu. Hazina impact sana katika social development.
Kwenye social development tumewapiga tena pigo takatifu.

Maendeleo yanapimwa na vitu vingi.
Mf:
1. Political stability
2. Security
3. Gape between poor and rich
4. Availability of resources
5. Corruption index
6. Unit of citizens

Na mengine yafananayo na hayo. Wewe unapima maendeleo kwa kuangalia ratios zitokanazo na statistical records. Hizo record mara nyingi huchukua samples na kutengeneza calculation kisha unapata hizo ratios.

Real social development inahusisha distribution of national revenue kwa watu wote. Sio watu wachache wafaidike. Hiyo ndio idea ya socialism. Sio capitalism ambayo wachache ndio wanafaidika.

Lol... Tihahahhaaaaa.
 
Tuelezee ya Tz wacha za Ethiopia na Nigeria......wote hao wapo hoi ,wana maisha ya shida kwsababu ya idadi kubwa ya watu.
Wote wanatorokea na kuzamia mataifa mengine Ulaya na Afrika kila kukicha wanakamatwa.
Hakuna mtanzania anaweza torokea nchi nyingine ovyo ovyo. Akienda nchi tofauti anaenda kwa marengo sio kwa sababu ya shida.

Sasa ndio maana nikauliza Kenya mnasema mpo juu kigezo chenu ni nini? Nimekupa mfano wa Ethiopia ambayo kwa mujibu wa GDP wapo juu yenu. Lakini kucha kutwa wanakimbia nchi yao.

Nikatoa mfano nyienajiita mpo juu, mbona mmeshindwa kulipa doctors mshahara?
Nikasema leteni facts za social development tuone kweli nyie mpo juu.
 
[QUOTE="Annael, post: 19154549, member: 55521"]Hakuna mtanzania anaweza torokea nchi nyingine ovyo ovyo. Akienda nchi tofauti anaenda kwa marengo sio kwa sababu ya shida.


Wameanza kuwa juu yetu tokea lini?....afu hao OMBAOMBA wakiTZ wanaokmatwa Kenya kila kukicha ndio wenye maendeleo?
Na wale wanaoteseka wakiishi barabarani kule Afrika Kusini huku waZulu wakiwauwa pia ni wa maendeleo?
 
Hapo pekundu acha uongo bwana!...mlichonacho ni CAPE GAUGE .
KENYA RELI HIY CAPE GAUGE, ILIJENGWA NA MALKIA WA HIMAYA YA AFRIKA MASHARIKI WAKATI HU, 1800 A.D HATA KABLA TANGANYIKA HAIJAWA NCHI, RELI HII ILIUNGANISHA PIA UGANDA.na hamjawai kumiliki STANDARD GAUGE!
TAZARA ilijengwa na mchina baadae sana.
Sasa hapa naona unachanganya madesa.
Hiyo gauge unayosema ni reli ya kati. Ilijengwa na wajerumani kabla hata hamjaanza kuwa na wazo la MAU MAU.

Hiyo ilikuwa inaungamisha Dar, Tanga, Kilimanjaro. Dar, Tabora, Kigoma na kuunganisha Rwanda na Burundi. Kumbuka Rwanda na Burundi zilikuwa chini ya German East Africa.

Ya malkia wenu ni kama reli ya kati. Lakini TAZARA ni SGR.
 
Sijaona sababu ya kukutukana aisee.

Hizi signature zenu zinaonyesha mlivyo hoi tukija kwenye lugha.
Afadhali ungelitumia tu kiswahili!

I radiate pure awesome ndio nini eti?

..........I radiate pure "AWESOMENESS"

Rekebisha!..hahahahhaah
 
Rail gauge and standards[edit]

The TAZARA has a track gauge of 3 ft 6 in (1,067 mm), also known as the Cape Gauge, which is widely used throughout southern Africa.[15] TAZARA connects to the Cape-gauge Zambia Railways at Kapiri Mposhi. The remainder of Tanzania’s railways have1,000 mm (3 ft 3 3⁄8 in) metre gauge tracks.[16] A transshipment station with a break of gauge station was built in Kidatu in 1998.[16]

Except for the rail gauge, TAZARA generally reflects Chinese railway standards of the 1970s. The original technical characteristics of the line are:
 
Are you sure you wanna take the grammar challenge with me nigga?
Hizi signature zenu zinaonyesha mlivyo hoi tukija kwenye lugha.
Afadhali ungelitumia tu kiswahili!

I radiate pure awesome ndio nini eti?

..........I radiate pure "AWESOMENESS"

Rekebisha!..hahahahhaah
 
Annael!...hiyo hapo TAZARA NI CAPE GAUGE OR NARROW GAUGE!
Wakati mwingine ujue GOOGLE ipo hata kwa wasio na elmu!

UONGO NA UDANGANYIFU HAUFAI!
 
[QUOTE="Annael, post: 19154549, member: 55521"]Hakuna mtanzania anaweza torokea nchi nyingine ovyo ovyo. Akienda nchi tofauti anaenda kwa marengo sio kwa sababu ya shida.


Wameanza kuwa juu yetu tokea lini?....afu hao OMBAOMBA wakiTZ wanaokmatwa Kenya kila kukicha ndio wenye maendeleo?
Na wale wanaoteseka wakiishi barabarani kule Afrika Kusini huku waZulu wakiwauwa pia ni wa maendeleo?
Hizo ni propaganda zenu tu dhidi ya Tanzania. Mtanzania hawezi kukimbilia kenya. Hao watakuwa ni wakenya. Watanzania wanaenda S.A kama exposure tu. Ndio maana Watanzania wanaishi kwa Madiba kama home kwao. Watanzania hawana mashart magumu kwa madiba kama Wakenya.

Shida zinawafanya wakenya kuwa na roho mbaya. Nimeona wakenya wengi wakija tz wamekondeana lakini baada ya kula ubwabwa wa nazi wa bongo wananenepeana ovyo ovyo. Sisi kwetu ni mambo ya kawaida sana kula wali wa nazi.
 
Hizo ni propaganda zenu tu dhidi ya Tanzania. Mtanzania hawezi kukimbilia kenya. Hao watakuwa ni wakenya. Watanzania wanaenda S.A kama exposure tu. Ndio maana Watanzania wanaishi kwa Madiba kama home kwao. Watanzania hawana mashart magumu kwa madiba kama Wakenya.

Shida zinawafanya wakenya kuwa na roho mbaya. Nimeona wakenya wengi wakija tz wamekondeana lakini baada ya kula ubwabwa wa nazi wa bongo wananenepeana ovyo ovyo. Sisi kwetu ni mambo ya kawaida sana kula wali wa nazi.

Kunenepa karne hii ni ujinga.
Hata madaktari hawalikubali hilo.
Ndio maana kuna ongezeko la gyms mitaani na watu wanahangaika kupunguza uzito.
Juzi mheshimia wenu mama Samia Suluhu alianzisha mradi wa mazoezi ya riadha ili mpunguze hayo mafuta na uchafu wa chipsi mayai unaonenepesha viuono vyenu na kuwaongezea maradhi kama vile, kisukari,cancer na msukumo wa damu.
Hata Obama amekodeana ,its called being SMARTand HEALTHY .
Sijui mpo karne ipi nyie!
 
Hizo ni propaganda zenu tu dhidi ya Tanzania. Mtanzania hawezi kukimbilia kenya. Hao watakuwa ni wakenya. Watanzania wanaenda S.A kama exposure tu. Ndio maana Watanzania wanaishi kwa Madiba kama home kwao. Watanzania hawana mashart magumu kwa madiba kama Wakenya.

Shida zinawafanya wakenya kuwa na roho mbaya. Nimeona wakenya wengi wakija tz wamekondeana lakini baada ya kula ubwabwa wa nazi wa bongo wananenepeana ovyo ovyo. Sisi kwetu ni mambo ya kawaida sana kula wali wa nazi.

Hahaha... There are Tanzanian beggars in all our major cities, There are Wagangas kutoka Danganyika allover claiming miracles over everything under the sun.... Endelea kuishi in utopia land hapo
 
Meanwhile at Kibera..........

Train-through-Kibera_902x600.jpg
 
watanzania wamezidi wakenya na nini???
tunajivunia mengi sana **** mamako wewe....kama vile
largest economy in EA
largest producer of tea, coffee
largest producer of flowers (Kenya produces the a third of the entire world's flowers)
largest airport in EA
world class athletes top in medal table in whole of africa
best airline in the EAst african Community nyie bado mwatumia bombadier hehe
2nd best university in EA
2 tallest buidings in East and Central Africa
3 largest malls in EA
wildlife
Obama
best roads in EA
best education system
best constitution
only country in East and central Africa that is not regarded as a least developed country....but we are in the midddle income bracket
largest port
SGR railway
largest number of dollar millionaires in EA (number 4 in africa after SA, Egypt, Nigeria)
and ur still asking stupid questions
motherfucker nyie mwajivunia nini??? mlima???:D:D:D:D
KNOW YOUR PLACE IN SOCIETY IDIOT...DONT COMPARE KENYA WITH DANGANYIKA...TRY SOMALIA OR UGANDA...WE AINT IN THE SAME LEVEL BITCH!!!!
And that is for sure man, in fact Kenya is the largest economy in East Africa , but with 46% people living below poverty lines.
 
Back
Top Bottom