try to use external monitor with vga cable or hdmi
Chief,msaada kidogo niko na laptop ina problem kama hiyo ila haina VGA so i had to buy an HDMI cable nikiunganisha na HDTV na kuselect source as HDMI still no signal but laptop iko fine feni inazunguka freshi ila ndo hivyo no display kwenye laptop na tv
Chief, Kuna Mshkaj Ameroot Tecno Yake Y6, Sasa Ametaka Kubadil Rangi Nikamdownlodia ifont nimweza kubadil rangi mbal mbal..lakin nimeshindwa kwenye kubadil rangi ya network signal na batery pamoja na batery percentage....hivi hapo unafanyaje?? kuna s2 yangu niliwah kuiroot hapo palinishinda pia..ningependa nijue hapo unabadil vipi mkuu??Sometime hdmi hutaka drivers.
Haionyeshi chochote hata logo ya kampuni iliotengeneza?
Chief, Kuna Mshkaj Ameroot Tecno Yake Y6, Sasa Ametaka Kubadil Rangi Nikamdownlodia ifont nimweza kubadil rangi mbal mbal..lakin nimeshindwa kwenye kubadil rangi ya network signal na batery pamoja na batery percentage....hivi hapo unafanyaje?? kuna s2 yangu niliwah kuiroot hapo palinishinda pia..ningependa nijue hapo unabadil vipi mkuu??
Ni Kwel Aina Maana Ila Jamaa Ndio Anachokitaka Haswa!!panaitwa android status bar unaweza badili rangi bila hata kuroot ila kwangu naona haina maana na huwenda ikasababisha matatizo zaidi
google how to change android stats bar
au cheki app kama hii
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.thirstystar.colorstatusbar&hl=en