farm 360
Member
- Sep 27, 2020
- 11
- 10
Jambo wana JF,
Mimi ni mjasiliamali natafuta shamba la kulima mwakani (masika) pamoja na eneo la kufugia mifugo yangu ikiwepo Mbuzi wa maziwa, nahitaji iwe katika maeneo ya Monduli eneo la Benett karibu na msitu au maeneo ya Monduli Juu. Kwa yeyote aliye na maeneo pande hizo anicheki DM tuyajenge mapema!
Asanteni
Karibuni wanajamvi.
Mimi ni mjasiliamali natafuta shamba la kulima mwakani (masika) pamoja na eneo la kufugia mifugo yangu ikiwepo Mbuzi wa maziwa, nahitaji iwe katika maeneo ya Monduli eneo la Benett karibu na msitu au maeneo ya Monduli Juu. Kwa yeyote aliye na maeneo pande hizo anicheki DM tuyajenge mapema!
Asanteni
Karibuni wanajamvi.