[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji25] [emoji25] [emoji779] [emoji779] [emoji779]Dah mshana bwana kwa kupenda mambo ya kufa kufa.... Halafu basi ataungekua unaposti mchana, unasubiri usiku watu tumelala, tumeshtuka kidogo usingizin tunapita Jf tunakutana na mambo yako ya kufa kufa, mara mida ya wanga
Duu asante sana kaka ila una ujasiri wa ajabu Kama wanguHello Mkuu Mshana Jr, habari za siku?! Naona mambo yako yameanza tena, ila binafsi siogopi kufa na tayari picha ya kwenye jeneza langu nishaiandaa, nawaambia wanaonihusu wanahisi natania, ila naamini siku nikifariki wataiweka hiyo, labda nifariki nikiwa mzee sana, ila sina hofu ya kifo.
Pole kwa msiba uliokupata. Amina!
Ahsante!