holy holm
JF-Expert Member
- May 6, 2017
- 4,670
- 8,670
Mungu atukuzweUwaga ni mambo ya ajabu sn hayo..nashukuru umekuwa umeacha..
Mungu atukuzweUwaga ni mambo ya ajabu sn hayo..nashukuru umekuwa umeacha..
good...what i like aboutyou ni kuwa ulifanya kitu ukiwa foolish age au zero experience ila umejuta umegundua ulifanya makoosa makubwa....so hii inatosha you are a better person ni makosa ya utotoni au ujanani tu hayo hasira hazifai hata kidogo ....sbut hujamtafuta sasa..sijui utaweza?Nimekua bro najua game ya mapenzi ilivyo uwaga sipotezi hata mda na msaliti
Dah pole kwa huyo binti wa watuAkili za vijana zipo chini..... Miezi kadhaa imepita vijana 15 wamempiga mtungo mwanafunzi wa form three, kisa wanamtongoza anakataa
Sina confidence ya kumface nikimuona kwa mbali yani nashindwa kabisa sababu baada ya kutokea yale..mtaa mzima ulijua mimi ndo chanzo kwahy nikama ishu ilikuwa kubwa sana na watu walimjadili sn...labda badae hukogood...what i like aboutyou ni kuwa ulifanya kitu ukiwa foolish age au zero experience ila umejuta umegundua ulifanya makoosa makubwa....so hii inatosha you are a better person ni makosa ya utotoni au ujanani tu hayo hasira hazifai hata kidogo ....sbut hujamtafuta sasa..sijui utaweza?
Ndio, akaenda polisi kumshtaki aliefanya huo mpango ambae ni kweli alikua bf wake, baada ya kumaliza kumla ndo akaita genge.... Jamaa kakana kuwa hajui hao wengine ye ni mpnz wake amekula akasepa kesi ikaishaKwahiyo walimbaka?
samehe sahauUnasemaa?
samehe sahau
si unajutia ulichofanya.......jisamehe na usahauYaani aliefanya kosa ndio asamehe
AiseeeUmeonaee bby eee, ndiyo maana huwa nikikukwaza huwa unaondoka karibu yng then hasira zikiisha unaludiiii,
Hahaaa sipati picha Siku ukinipigaaa hahaaa
Aiseee
Pole sana mkuu.
Kabla ya kufanya maamuzi yoyote hakikisha huna chuki wala hasira kila siku utakuwa unafanya maamuzi chanya.
Pole sana mkuu.
Kabla ya kufanya maamuzi yoyote hakikisha huna chuki wala hasira kila siku utakuwa unafanya maamuzi chanya.