barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,324
- 29,586
Ujinga wangu nilifanyaga 2000 ila naamini kila kitu hutokea kwa sababu zake, huenda nisinge fanya hivyo leo ningekuwa labda sipo duniani.
Hiyo dhambi itakuja kukupa mkosi mkubwa hapa duniani, toba ya Mungu haitosaidia kitu kama hutomwomba msamaha yeye.Hii ni story ya kweli kabisa ya ujinga mmoja niliyofanyaga nkiwa na miaka 17.
Nilikuwa na mchumba wangu anaitwa Alice (jina la uongo) alikuwa ana miaka 22 sasa kipindi kile nilikuwa sijui kama kwenye mapenzi kuna usaliti yani sikuwahi kusalitiwa mpaka umri huo, kumbe mwenzangu alikuwa na jamaa mtu mzima kabisa kama 29years..
Siku nikamfuma nae kiukweli roho iliniuuma sana nadhan mnajua siku ya kwanza kusalitiwa inavyokuwa nikawa na chuki sana dhidi yake...Sasa mtaani kuna hizi tabia za kupiga wanawake mitungo ...Bro mmoja wa mtaani akaniuliza dogo mbona siku hizi sikuoni na Alice? Nikamwambia kila kitu...
Akaniambia mlete ghetto tumpige mtungo yaani mimi nimfikishe chumbani tu then wao wanamalizana nae.. Kiukweli kwakuwa nilikuwa na chuki nae na demu mwenyewe alikuwa ananiomba msamaha basi chuki ilikuwa inazidi...Sikuwaga na ghetto kwa hiyo nilikuwa namchukua mara leo kwa bro flan mara kwa jamaa yangu flan sikuwa na chumba maalum...
Ndio siku hiyo nikwambia nimemsamehe aje home kupigwa mashine..alipofika nikampeleka ghetto kimoja halafu nikamwacha huko...nikaenda beach...Narudi nasikia kapigwa mtungo na mabroo watatu wa mtaani...
Kiukweli nikikumbuka hii ishu huwa najisikia vibaya sana, Umri umeenda nimejua game la mapenzi linavyoenda lakini bado najiskia vibaya...kama umewahi kufanya huu ujinga funguka na wewe,ilikuaje
Hii ni story ya kweli kabisa ya ujinga mmoja niliyofanyaga nkiwa na miaka 17.
Nilikuwa na mchumba wangu anaitwa Alice (jina la uongo) alikuwa ana miaka 22 sasa kipindi kile nilikuwa sijui kama kwenye mapenzi kuna usaliti yani sikuwahi kusalitiwa mpaka umri huo, kumbe mwenzangu alikuwa na jamaa mtu mzima kabisa kama 29years..
Siku nikamfuma nae kiukweli roho iliniuuma sana nadhan mnajua siku ya kwanza kusalitiwa inavyokuwa nikawa na chuki sana dhidi yake...Sasa mtaani kuna hizi tabia za kupiga wanawake mitungo ...Bro mmoja wa mtaani akaniuliza dogo mbona siku hizi sikuoni na Alice? Nikamwambia kila kitu...
Akaniambia mlete ghetto tumpige mtungo yaani mimi nimfikishe chumbani tu then wao wanamalizana nae.. Kiukweli kwakuwa nilikuwa na chuki nae na demu mwenyewe alikuwa ananiomba msamaha basi chuki ilikuwa inazidi...Sikuwaga na ghetto kwa hiyo nilikuwa namchukua mara leo kwa bro flan mara kwa jamaa yangu flan sikuwa na chumba maalum...
Ndio siku hiyo nikwambia nimemsamehe aje home kupigwa mashine..alipofika nikampeleka ghetto kimoja halafu nikamwacha huko...nikaenda beach...Narudi nasikia kapigwa mtungo na mabroo watatu wa mtaani...
Kiukweli nikikumbuka hii ishu huwa najisikia vibaya sana, Umri umeenda nimejua game la mapenzi linavyoenda lakini bado najiskia vibaya...kama umewahi kufanya huu ujinga funguka na wewe,ilikuaje
Hii mabinti wengi walifanyiwa enzi hizoo... Yaani ukowa na nyoda na unajifanya unakidomo sana cha kutukana pale unapotongozwaAkili za vijana zipo chini..... Miezi kadhaa imepita vijana 15 wamempiga mtungo mwanafunzi wa form three, kisa wanamtongoza anakataa
Kwahiyo walimbaka?Akili za vijana zipo chini..... Miezi kadhaa imepita vijana 15 wamempiga mtungo mwanafunzi wa form three, kisa wanamtongoza anakataa
forgive and forget
Alivyo ongea angalau anatoa sumu kuliko kukaa nalo moyoni, ila akijutia kwaku maanisha Mungu husamehe mkuuShenzy type...!! Alafu bado una courage ya kuja kuanika uozo wako huku, Haioneshi kutubu ht kama unasema ni kosa, Yan watu kama nyie kwa nini hamnaga bahati ya kukutana na mimi aisee...??? Nimekua kiumri lkn hii jazba ya kunyanyasa wanawake kingono hainitokagi moyoni...!! Mmoja tu alithubutu kumfanyia ukuda dada angu angekuepo duniani mngemuuliza...!!
Kwa nini usiwe mstaarabu bhn..?? Mtu anathubutu had kukuvulia nguo alafu wew unamfanyia unyama huo.,, Roho ht haikugusi MBWA wew..??
Hapa kwenyewe ungekua karibu ningekujeruhi ingawa cmjui huyo uliyemfanyia huo utumbo....Nimekwambia humu naona haitoshi nakufuata hadi PM..!
Uwaga ni mambo ya ajabu sn hayo..nashukuru umekuwa umeacha..huo mchezo ni mchafu sana sisi tulikua na kundi lilijulikana kama CHAKOTA (chama cha kolabo Tanzania) tulikua na mtindo wa tukipata msichana lazima tumpge kolabo namshukuru Mungu kundi lilivunjika juzi juzi tu hapa baada ya kujitambua kifkra na nilivoponea chupuchupu kupata h.i.v hyo kitu ni mby kama utamfanyia yule umpendae.
Kua uache kukurupukaPumbaavu wew ungemfanyia ivyo dada angu au mwanangu nikajua ningetoboa kichwa icho tundu moja tu la risasi wala hata sio mbili ili na wew nisikuonee sana nije kujuta baadae...!!
Nna chuki sana na watu wanaonyanyasa wanawake kingono.,, natamanigi nimkamate mmoja nimyooshe adabu na mi nikawe jirani yake Babu Sea huko KEKO...!!
Sio mara zote unavuna ulichokipanda wakulima wanakubaliana na mimi..usikalili ingawa najuta..Bro... Omba Mungu usipate mtoto wa kike... Ata hao wa kiume uwaombee sana!
Kitu kuhusu dhambi... Kila dhambi ina concequence hapa duniani, ata ukitubu Mungu atakusamehe ila consequence ni ngumu kuitoa!
K.A.R.M.A is a byach!!!
Kua uache kukurupuka
Wewe umenielewa sana aiseeIsiikuume sana age za miaka 10s huwa znamatukio mengi sana ya kihivyo kwa vijana,
Mm nimewah kushudia mtungo Wa watu 7 kwa mschana mmoja nikiwa na miaka15
Mpaka yule mdada akashndwa kutembea
Pale kijijn mtungo ilikuwa dili kwa vijana kama mmoja wao atapata demu!
Hasa kwa wale wanawake wanaojulkana Malaya kijiji kizima
Hizo age za matukio cha kufanya we sahau tu