lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,151
- 33,333
Wabunge wawapo Bungeni huikisoa serikali vikali kwelikweli,huwabana mawaziri wa serikali kwa nguvu za hoja na hata kwa kejeli,huikosoa serikali Sana na mara nyingine hutoa maneno makali Sana.yes hiyo ndio Kazi ya wabunge na Bunge dhidi ya serikali.
Je, ni makosa kwa wananchi kulikosoa Bunge?
Je, halitaki maoni ya wananchi?
Nakumbuka kila wananchi wakijaribu kutoa tu maoni yao tofauti na Bunge basi Spika wa Bunge hasa ndugai huwaka kwelikweli.
Mfano wa watu waliotoa maoni yao tofauti na Bunge au kulikosoa Bunge au kumkosoa Spika waliitwa kuonnywa ama kusemwa ama kukemewa na Bunge ama kupitia kamati ya maadili ama Spika mwenyewe.
Mfano ni
Pascal Mayala na sasa Genelali Ulimwengu.
Hata Makonda aliwahi kuitwa na kukanywa.
Je ni halali Bunge kuikososa serikali lakini ni haramu kwa wananchi kulikosoa Bunge?
Je, ni makosa kwa wananchi kulikosoa Bunge?
Je, halitaki maoni ya wananchi?
Nakumbuka kila wananchi wakijaribu kutoa tu maoni yao tofauti na Bunge basi Spika wa Bunge hasa ndugai huwaka kwelikweli.
Mfano wa watu waliotoa maoni yao tofauti na Bunge au kulikosoa Bunge au kumkosoa Spika waliitwa kuonnywa ama kusemwa ama kukemewa na Bunge ama kupitia kamati ya maadili ama Spika mwenyewe.
Mfano ni
Pascal Mayala na sasa Genelali Ulimwengu.
Hata Makonda aliwahi kuitwa na kukanywa.
Je ni halali Bunge kuikososa serikali lakini ni haramu kwa wananchi kulikosoa Bunge?