marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,634
- 3,661
Natabiri Kabila ataishia kama baba yake.
Nimeweka kwenye kumbukumbu. .
Natabiri Kabila ataishia kama baba yake.
kwa mantiki hii kilichobaki ni wachapane tu risasi hadi kiamaViongozi wa Africa hawana aibu kabisa!
Katumbi amempiga tafu sana Kabila lakini Kabila anamkandamiza Katumbi
ushindwe hakika AFRICA hatuna laana ni mpito tu! tuombe kwa MWENYE ENZI MUNGU atupe hekima na busara! mdomo unaumba....
figisu mapemaaaa kwahiyo akishafungwa inamaana uchaguzi ndo unampita hivo................upinzani inabidi warudi mezani wachague mgombea mwingine akabiliane na kabila
Siasa za afrika zinafanana, ukiwa mpinzani tayari ni adui