Moise Katumbi ahukumiwa miaka 3 jela

Moise Katumbi ahukumiwa miaka 3 jela

Ianzishwe petition ya kuondoa neno democratic kwenye majina ya hizi inji.Inji inaitwa Democratic Republic of Congo alaf figisu nyingi kama USSR
 
Afrika sasa tunatia aibu, huku si kubana demokrasia bali ni unyanyasaji wa haki za binadamu, yale yanayoendelea nchi za kiarabu yanaweza kujitokeza afrika mapema sana, watawala wawe na aibu jamani, wawe na kiasi pia, kama hajabadili katiba atawale milele basi kateua member wa family, au kukomaa chama chake kibaki madarakani, upuuzi huu kuna siku tu watavuna wapandacho.
 
Natabiri Kabila ataishia kama baba yake.
Babake alikata mawasiliano na Kigali na Kampala ndo mwisho wake ulipoanzia lakini dogo bado ni mtiifu kwa hizo remote control. DRC ni koloni flani tu kila anaeungwa mkono na waKongo asilia mwisho wake si mwema mfano ni Bemba na sasa Katumbi.
 
Babake alikata mawasiliano na Kigali na Kampala ndo mwisho wake ulipoanzia lakini dogo bado ni mtiifu kwa hizo remote control. DRC ni koloni flani tu kila anaeungwa mkono na waKongo asilia mwisho wake si mwema mfano ni Bemba na sasa Katumbi.
Kuna tetesi kuwa hata tz remote ipo Kigali, inauma sana.
 
Kuna tetesi kuwa hata tz remote ipo Kigali, inauma sana.
Kila kitu kinawezekana,Mtikila alikuwa akiongea sana haya lakini alionekana kama mpiga kelele tu.Ishu ya Tutsi Empire is real ingawa inaonekana kama maneno ya kusadikika tu..lets wait and see.
 
kanuni ya pori iansema mwenye nguvu mpishe
 
Katumbi amempiga tafu sana Kabila lakini Kabila anamkandamiza Katumbi
 
Sisi tutakuwa tumelogwa kabisa mchawi wetu alishakufa wameona ana nguvu sana wameamua kumfanyia hujuma duh
 
Hyu jamaa alivyotangaza kuwania urais tu,
Nikasema anachokitaka atakipata huyu.....
 
Back
Top Bottom