Halafu kuna mtu mmoja alikuwa anajisifia Uafrika leo!!!
Mpito eeh...
Tukubali Kutokukubaliana!
Mpito eeh...
Tukubali Kutokukubaliana!
Maendeleo hayawezi kuja tulie tu sisi tuna laana toka enzi
demekrasia ni upuuzi flani hivi,kidoogo unafaa kwa jamii iliyoelimika na si jamii iso elimu kama ya kiafrikaHalafu kuna mtu mmoja alikuwa anajisifia Uafrika leo!!!
Hahahaha This is Africa, hili bara daah mpaka dakika hii najiulizaUhuni wa kubaka demokrasia nchi za Afrika unaendelea. Wala sishangai maana nishazoea, Huyu anabana wapinzani, yule anamteua Mkewe awe Waziri, huku Rais anamteua mwanae awe makamu wa Rais. Hii ndio Afrika.