Kaazi kweli. Wengi mnaonekana kufurahia fujo na kundekeza udini. Waliochoma makanisa wamekosea bila kujali ni waislam au wahuni, kama aliekojolea Qur'an. Ila jumla jumla ya "Waislam Wahuni" eti tu kwa kigezo cha Mohamed Said nako ni vurugu kama kuchoma kanisa au kukojolea qur'an.