Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Akiwa kwenye mdahalo na Sekioni Kitojo Mohamed Said amesema kuwa waislamu hawakuchoma makanisa waliochoma n wahuni waliotumia mgongo wa uislam.
"kwanza si waislam waliochoma kanisa, mwislam hawezi kuchoma kanisa kama kanisa limechomwa watakuwa ni wahuni wa mitaani wamechukua upenyo ule kufanya uhalifu wao' alisema
kumsikiliza bonyeza hapa
"kwanza si waislam waliochoma kanisa, mwislam hawezi kuchoma kanisa kama kanisa limechomwa watakuwa ni wahuni wa mitaani wamechukua upenyo ule kufanya uhalifu wao' alisema
kumsikiliza bonyeza hapa