Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,531
- 59,567
Mkuu, heshima kwako. I like your argument. So civilized.
Thank you, it's better to answer that way.
Mkuu, heshima kwako. I like your argument. So civilized.
Tutegemee mandamano mengine kama yale yaliomwangusha Mubarak.
al sisi amejaiokoa misri ilikwisha anza kuparaganyikaDhambi ya Housen Mubarak inawatafuna waMisri hata huyu nae aliyepo yatampata hayo hayo. Binafsi nimeshangaa sana hukumu hiyo!
Usiwe na wasiwasi dogo alsisi anawatisha tu hakuna hata mmoja wa muslim brotherhood atakaenyongwa hizo ni siasa tu.
Watamuua kweli...:cheer2:
Wameamua kusitisha kwa sasa, hii ni habari ya jana.