Mohammed Morsi sentenced to death over 2011 prison break

Mohammed Morsi sentenced to death over 2011 prison break

Ni myahudi aliepandikizwa
teh teh teh..amepandikizwa na nani? Last time I checked, al Sisi aliteuliwa na Morsi (Muslim Brotherhood) kua jemedari wa majeshi ya Misri; at that time I guess hakua myahudi; ila alipoanza kuwashughulikia wafuasi wa chama cha kigaidi cha MB ndio amegeuka myahudi?? #just_hilarious
 
specialist88
Acha maneno ya kwenye Vijiwe vya kahawa na kashata wewe, hiyo vita ya ukombozi wa Dunia itaanzia na itaishia wapi na nani atakaekuwa mpiganaji wa hiyo vita?

Dunia itakuwa salama iwapo hawa vimelea kama wakina Morsi na kikundi chake cha kigaidi Muslim brotherhood vitakapotokomezwa. Walijifanya kumtoa Mubarak madarakani kumbe wana mambo ya ajabu kuliko Mubarak. Al-sis go go go...
 
Last edited by a moderator:
teh teh teh..amepandikizwa na nani? Last time I checked, al Sisi aliteuliwa na Morsi (Muslim Brotherhood) kua jemedari wa majeshi ya Misri; at that time I guess hakua myahudi; ila alipoanza kuwashughulikia wafuasi wa chama cha kigaidi cha MB ndio amegeuka myahudi?? #just_hilarious

Hilo linajulikana sana kama unafuatilia masuala ya siasa na habari za dunia, mama yake na Al Sisi ni Moroccan Jew kwa hiyo automatically kama mama ni myahudi na yeye ni myahudi wala halina ubishi hilo
 
Hilo linajulikana sana kama unafuatilia masuala ya siasa na habari za dunia, mama yake na Al Sisi ni Moroccan Jew kwa hiyo automatically kama mama ni myahudi na yeye ni myahudi wala halina ubishi hilo
Hoja iko palepale tu. Alipokua kipenzi cha Morsi hakua myahudi, ila alipoanza kuwaadabisha MB ndio amekua myahudi!! Na sijui tangia lini myahudi au mwarabu anarithi kabila la mama (if it is necessarily true), hilo swali jijibu mwenyewe kimoyomoyo.
 
.
"Why do we kill people who arekilling people to show that killing people is wrong ?"
 
Hoja iko palepale tu. Alipokua kipenzi cha Morsi hakua myahudi, ila alipoanza kuwaadabisha MB ndio amekua myahudi!! Na sijui tangia lini myahudi au mwarabu anarithi kabila la mama (if it is necessarily true), hilo swali jijibu mwenyewe kimoyomoyo.

Nimnukuu balozi wa Israel huko misri “ a national hero for all Jews" na alizaliwa kwenye Jewish quarters anyway na kumbuka hata hapa kwetu mtu anapokuwa ngazi zingine madarakani hachunguzwi hivyo lakini likija suala la President maneno hayakosekani.
All in all Morsi alichaguliwa na wananchi kihalali na Egypt mapinduzi yanajulikana hayakuanza leo
 
kiukweli ukombozi unahitajika sana kutoka kwenye makucha ya ukoloni mamboleo wa magharibi na marekani

marekani walikua wakimuunga mkono morsi,tatizo imebidi wawe wapole baada ya al sisi kuanza kuegemea russia baada ya marekani kuwanyima misaada alipompindua morsi.
uwezekano wa morsi kuuawa ni mkubwa sana,maana al sisi anaungwa mkono na saud arabia na ndo paymaster wake katika kuhakikisha analifuta kundi la muslim brotherhood.
pia israel anamuunga mkono kwani morsi alitaka kuwa karibu na wapalestina kiasi cha kufungua mpaka wa rafar crossing kitu kilichowaudhi waisrael.
 
Tutegemee mandamano mengine kama yale yaliomwangusha Mubarak.

Kwa Morsi maandamano ni sawa (kwa mtazamo wako) kupinga utawala halali ulioko madarakani kisa Morsi kahukumiwa,ila kwa Burundi si sawa waandamanaji kutaka mabadiliko. Double standards!
 
Hoja iko palepale tu. Alipokua kipenzi cha Morsi hakua myahudi, ila alipoanza kuwaadabisha MB ndio amekua myahudi!! Na sijui tangia lini myahudi au mwarabu anarithi kabila la mama (if it is necessarily true), hilo swali jijibu mwenyewe kimoyomoyo.

wayahudi wamebase kwa mama.
mfano,mmewe chelsea clinton ni myahudi.
ila kama chelsea atamzalia mtoto(aweza kuwa ashazaa),huyo mtoto si myahudi,kwani chelsea si myahudi.

sasa mamake al sisi ni morrocoan jew
 
Back
Top Bottom