Mohammed Morsi sentenced to death over 2011 prison break

Mohammed Morsi sentenced to death over 2011 prison break

Hilo linajulikana sana kama unafuatilia masuala ya siasa na habari za dunia, mama yake na Al Sisi ni Moroccan Jew kwa hiyo automatically kama mama ni myahudi na yeye ni myahudi wala halina ubishi hilo


Kwa hiyo akiwa na mama wa kiyahudi basi automaticaly pia amepandikizwa na wayahudi!?..is.that what you mean?
 
Hilo linajulikana sana kama unafuatilia masuala ya siasa na habari za dunia, mama yake na Al Sisi ni Moroccan Jew kwa hiyo automatically kama mama ni myahudi na yeye ni myahudi wala halina ubishi hilo

Morsi hakulijua hilo kuwa jamaa ana damu ya kiyahudi wakati anamteua kushika wadhifa nyeti wa kuwa Mkuu wa Majeshi?
 
Watu wapo strategic sana.Kwa kuwa kuna watu wanaona huyu jamaa amepewa kifungo kirefu sana cha miaka 20 jela.Sasa anahukumiwa kunyongwa, wakati watu wanataharuki kilio kikubwa kitasikika na jumuita ya kimataifa inaonyeshwa masikitiko yake alafu baada ya hayo Rais ataingilia kati na watamfutia hukumu ya kifo na kubaki hukumu ya miaka 20 jela na watu wote watashangilia na kumsifia Rais.

Mwisho wa siku wakija kufikiria vizuri kumbe wameshangilia kile kile walichokuwa wanakipinga mwanzo, politics!!
 
Morsi hakulijua hilo kuwa jamaa ana damu ya kiyahudi wakati anamteua kushika wadhifa nyeti wa kuwa Mkuu wa Majeshi?

Al sisi alikuwa ni mwanajeshi na cheo kikubwa kabla ya morsi kuwa raisi, kwani maraisi wangapi marekani wana asili ya Irish na Jew lakini maisha yanaenda. Huyo ni born and bred, ifahamike kuwa inawezekana siku moja tukawa na raisi mzawa mwenye asili ya nchi nyingine lakini hiyo nchi kama itakuwa ni adui na sisi maswali yatakuja tu
 
Watu wapo strategic sana.Kwa kuwa kuna watu wanaona huyu jamaa amepewa kifungo kirefu sana cha miaka 20 jela.Sasa anahukumiwa kunyongwa, wakati watu wanataharuki kilio kikubwa kitasikika na jumuita ya kimataifa inaonyeshwa masikitiko yake alafu baada ya hayo Rais ataingilia kati na watamfutia hukumu ya kifo na kubaki hukumu ya miaka 20 jela na watu wote watashangilia na kumsifia Rais.

Mwisho wa siku wakija kufikiria vizuri kumbe wameshangilia kile kile walichokuwa wanakipinga mwanzo, politics!!

asante kaka umenena
 
Na huku alichaguliwa kidemokrasia,hii laana ya marekani sijui lini itaisha.Chuki dhidi ya USA na Israel ndiyo itazidi zaidi

ikisha zidi ndio inakuwaje sasa? hata muwachukie uwezo wa kuwafanya lolote hamna,
 
wayahudi wamebase kwa mama.
mfano,mmewe chelsea clinton ni myahudi.
ila kama chelsea atamzalia mtoto(aweza kuwa ashazaa),huyo mtoto si myahudi,kwani chelsea si myahudi.

sasa mamake al sisi ni morrocoan jew
Huu ni uongo ambao inabidi kujivika ujinga ili kuukubali. Hata Torah inapotaja kizazi inataja wababa tu. Kwa hili mtafute mwengine umdanganye.
 
Unamfaham vizuri Abdulfatah Al sis wewe!?..He's a very determined man.

Simfahamu, nnasoma tu habari zake tena mara moja moja sana na wala simfatilii kabisa.

Naam, hebu tujulishe zaidi wewe unaemfahamu. Mlikutana wapi?
 
Ila bila huyu Al Sis hii nchi isinge kalika kila siku wangekuwa wanauana wao kwa wao.
USA karudisha misaada yake na kumpa Apache kibao. Israel akawapa Support ndo maana wakaharibu majengo ya Palestine.
Saudi pia akawapa Support
 
Dhambi ya Housen Mubarak inawatafuna waMisri hata huyu nae aliyepo yatampata hayo hayo. Binafsi nimeshangaa sana hukumu hiyo!
 
Nachoka nikiona watu wanasherehekea hukumu ya mtu kuuwawa wakati hajawahi kuwagusa kwa namna yoyote?

Au wanaofurahia wanapata nyama ya marehemu?
 
Al sisi alikuwa ni mwanajeshi na cheo kikubwa kabla ya morsi kuwa raisi, kwani maraisi wangapi marekani wana asili ya Irish na Jew lakini maisha yanaenda. Huyo ni born and bred, ifahamike kuwa inawezekana siku moja tukawa na raisi mzawa mwenye asili ya nchi nyingine lakini hiyo nchi kama itakuwa ni adui na sisi maswali yatakuja tu
Unaweza nitajia raisi yeyote wa Marekani mwenye asili ya Kiyahudi?.
 
specialist88
Hata nchi za umoja wa waarabu hawajalaani, je, wamemtosa Morsi? Inasikitisha sana bila ushabiki kiongozi huyu alichaguliwa na wananchi wenyewe wa Misri, pole kwa Morsi kwa sababu hakujuwa Wamisri ni aina gani ya watu.
 
Last edited by a moderator:
Na huku alichaguliwa kidemokrasia,hii laana ya marekani sijui lini itaisha.Chuki dhidi ya USA na Israel ndiyo itazidi zaidi

Mkuu, I cant get it why is USA involved in your Argument!?...Kwa ninavyofahamu mimi instability in Arab Nations imetokana na vuguvugu (Arab spring) katika nchi za kiarabu, kuanzia Eghpt, morocco, Tunisia, etc...wananchi wa nchi husika hawakulidhika na watawala wao na wakaingia barabarani kushinikiza waondoke. kuna waliondoka kwa hiari kuepusha machafuko na wengine walikuwa vigilant enough not to let the power slip in their fingers...(Ushahidi uko wazi).

with exception to Libya, sijaona drone wala marine ya ki-marekani ikiwa Egypt or Tunisia...! what is happening in arab world is arabs killing arabs!! we should feel sorry for them, may be until the time when religious ideology and colour of skin will no longer be significant than the color of their eyes and dignity....arabs will never know peace
 
Nimesoma uzi aliyemuhukumu Morsi ameuwawa. itachukua muda mrefu Misri utulia.
 
black sniper
Mkuu, heshima kwako. I like your argument. So civilized.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom