GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,700
- 14,632
cool down please. please. nakuomba. umekosea kusema arudi uarabuni wakati si ajabu maisha yake yote yamefanyika tanzania. huyu ni mtanzania mwenzetu rangi si tatizo. wapo watanzania weusi wenye roho mbaya na wameiba sana katika nchi hii. nadhani kama una mhukumu, mhukumu kwa matendo yake rangi ,kabila ,dini yake achana nayo. pole dada yangu.
You have nothing to tell us,,,,,,,mlitumia mianya ya udhaifu wa vizazi vilivyopita mkajipatia utajiri wa kishenzi dhuluma uuaji wa tembo na rushwa
kuanzia sasa hivi learn how to shut that small mouth up!!!kwanza mliuza babu zetu utumwani na mkawaua kwa kuwatesa,,i hate you,,wewe ni kizazi cha uovu na akili zako zimejaa uovu hakuna jambo lolote unaweza kuwaambia watanzania nenda kwenu huko uarabuni ukapigane na waarabu wenzio huko
