Mohammad Dewji shut that little mouth up!

Mohammad Dewji shut that little mouth up!

Una muhukumu mtoto kwa dhambi aliofanya baba ake, kweli wewe una chuki binafsi.
hatamie nashangaa, hatuwezi chukulia tofauti za mababu zetu nasi tukazichukua hivyo hivyo, hadi miaka ya themanini mmasai alikuwa hawezi kwenda tarime au bariadi kwa uhasama wa kuibiana mifugo. leo hii wamasai wapo tarime na bariadi wakiuza ngorotee na shanga.
 
You have nothing to tell us,,,,,,,mlitumia mianya ya udhaifu wa vizazi vilivyopita mkajipatia utajiri wa kishenzi dhuluma uuaji wa tembo na rushwa
kuanzia sasa hivi learn how to shut that small mouth up!!!kwanza mliuza babu zetu utumwani na mkawaua kwa kuwatesa,,i hate you,,wewe ni kizazi cha uovu na akili zako zimejaa uovu hakuna jambo lolote unaweza kuwaambia watanzania nenda kwenu huko uarabuni ukapigane na waarabu wenzio huko
20180817_102146.png
 
You have nothing to tell us,,,,,,,mlitumia mianya ya udhaifu wa vizazi vilivyopita mkajipatia utajiri wa kishenzi dhuluma uuaji wa tembo na rushwa
kuanzia sasa hivi learn how to shut that small mouth up!!!kwanza mliuza babu zetu utumwani na mkawaua kwa kuwatesa,,i hate you,,wewe ni kizazi cha uovu na akili zako zimejaa uovu hakuna jambo lolote unaweza kuwaambia watanzania nenda kwenu huko uarabuni ukapigane na waarabu wenzio huko
ACHA UBAGUZI
 
You have nothing to tell us,,,,,,,mlitumia mianya ya udhaifu wa vizazi vilivyopita mkajipatia utajiri wa kishenzi dhuluma uuaji wa tembo na rushwa
kuanzia sasa hivi learn how to shut that small mouth up!!!kwanza mliuza babu zetu utumwani na mkawaua kwa kuwatesa,,i hate you,,wewe ni kizazi cha uovu na akili zako zimejaa uovu hakuna jambo lolote unaweza kuwaambia watanzania nenda kwenu huko uarabuni ukapigane na waarabu wenzio huko
Wewe kweli ni rose- marie.
Wivu wa kike ndo umekujaa.
Hivi hujui hata kumpora mtu inahitaji uvumilivu na muda?
 
We dada alilolisema Mo dewj ndo ukweli haijalishi yeye alipata kwa njia gani. Angalia kwa sasa anasaidia kwa kiasi gani. Hata kuingia mbinguni wa kwanza atakua wa mwisho na wa mwisho atakua wa kwanza haijalishi ni dhambi zipi alitenda kikubwa kubadili njia na kutenda ya haki. Leo Mo ameajiri watu wangapi hata kama unamchukia kwa yaliyopita?.
 
kwanza mbona sioni tatizo kwenye tweet ya MO! pia hoja ni asili yake au tweet yake? unge concentrate kwenye point moja ingeleta maana zaidi, kuhusu biashara ya utumwa MO ni mwenye asili ya India na hakuna uhusiano wa India na madhambi yaliyotendeka wakati wa utumwa. Nawakilisha.
Na mi nimeshangaa kumwita mwarabu
 
tatizo hamjadili hoja mnamjadili mtu, mara wewe yanga wakati hakuna sehemu aliyozungumzia yanga au simba.Kwani hamjui jinsi gani Mohamed enteprises walivyokuwa wanatumia rushwa au udhaifu wa serikali kujipatia hiyo pesa ya haraka.hivi wakati swala la chakula kibovu lilipoibuka na mashahidi wote wakafariki mlikuwa wadogo au mlikuwa hamjazaliwa.sasa hivi serikali inataka kuwanyang'anya mashamba ya mkonge ambayo badala ya kuyaendeleza wamechukua mkopo benki na kulima sehemu ndogo tuyako mambo mengi ambayo mengine yako wazi na mengine yamejificha ila kwa sababu wengi mnadanganywa na uwekezaji wake kwenye mpira
wewe nawe yanga,umeandika utumbo mtupu,ukiyataka hayo hautokutana na msafi dunia hii,umasikini ni ugonjwa mbaya sana...
 
You have nothing to tell us,,,,,,,mlitumia mianya ya udhaifu wa vizazi vilivyopita mkajipatia utajiri wa kishenzi dhuluma uuaji wa tembo na rushwa
kuanzia sasa hivi learn how to shut that small mouth up!!!kwanza mliuza babu zetu utumwani na mkawaua kwa kuwatesa,,i hate you,,wewe ni kizazi cha uovu na akili zako zimejaa uovu hakuna jambo lolote unaweza kuwaambia watanzania nenda kwenu huko uarabuni ukapigane na waarabu wenzio huko
Nilikuwa sijui kumbe Mo ni mwarabu. Punguza hasira dada kumbe hata hivyo haumfahamu.
 
Njaa mbaya sana, Asa wewe unamtukana Hata huyo, MTU mwenyewe wala si muongeaji
 
Small minds discuss people, average minds discuss events and great minds discuss ideas.

This is purely hate speech. Ukisikia uchochezi ndo huu.
 
Hoja yako ingependeza ikiwa tu, gepunguza jazba na chuki zako binafsi na dhahiri kwa Mo
 
A hateful and resentful thought is a mental poison
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom