ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,602
- 119,755
Nahuja, njoo tufungiane kwa chumba tufundishane. Tukitoka kila mtu anajua kimombo..teh!!Maskini mie!! kutokujua kingereza hukuuu!!
Hivi ni kweli hiyo twiti ya Mudi imekaa vibaya kiasi cha kumtolea povu kiasi hicho?!!!