Mohammad Dewji shut that little mouth up!

Mohammad Dewji shut that little mouth up!

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,441
You have nothing to tell us,,,,,,,mlitumia mianya ya udhaifu wa vizazi vilivyopita mkajipatia utajiri wa kishenzi dhuluma uuaji wa tembo na rushwa
kuanzia sasa hivi learn how to shut that small mouth up!!!kwanza mliuza babu zetu utumwani na mkawaua kwa kuwatesa,,i hate you,,wewe ni kizazi cha uovu na akili zako zimejaa uovu hakuna jambo lolote unaweza kuwaambia watanzania nenda kwenu huko uarabuni ukapigane na waarabu wenzio huko
 

Attachments

  • 39387585_10212438981719018_4395241120070631424_n.jpg
    39387585_10212438981719018_4395241120070631424_n.jpg
    45.2 KB · Views: 111
You have nothing to tell us,,,,,,,mlitumia mianya ya udhaifu wa vizazi vilivyopita mkajipatia utajiri wa kishenzi dhuluma uuaji wa tembo na rushwa
kuanzia sasa hivi learn how to shut that small mouth up!!!kwanza mliuza babu zetu utumwani na mkawaua kwa kuwatesa,,i hate you,,wewe ni kizazi cha uovu na akili zako zimejaa uovu hakuna jambo lolote unaweza kuwaambia watanzania nenda kwenu huko uarabuni ukapigane na waarabu wenzio huko
Ni hii hii Post yake tu?
Au kuna jingine?
 
We mtoa mada unamatatizo ya kisaikolojia au una bad attitude. Nakumbuka hata ule uzi wa jamaa aliekuja kuanza maisha Dar akaomba msaada ulikua very negative ukacomment shit tu. Change your attitude change your life.
 
Kwanza kabisa wewe ni YANGA.
Pili, yuko sahihi. Inahitajikuwa patient kufanikiwa. Empire yao bila kujali waliipataje, imejengwa kwq vizazi kuanzia kwa baba yake yeye kapokea kijiti na anazidi kuiboresha.

Umenikumbusha Kanye West alivyojibu kuhusu sababu za mtu mweusi kufanywa Mtumwa enzi za ukoloni ambapo alijibu ya kwamba “Mtu Mweusi au babu zetu walipenda wenyeji kuwa watumwa wala halikuwa kosa kwa mtu mweupe(mzungu,mwarabu) kumgeuza mtu mweusi kuwa mtumwa “
 
tatizo hamjadili hoja mnamjadili mtu, mara wewe yanga wakati hakuna sehemu aliyozungumzia yanga au simba.Kwani hamjui jinsi gani Mohamed enteprises walivyokuwa wanatumia rushwa au udhaifu wa serikali kujipatia hiyo pesa ya haraka.hivi wakati swala la chakula kibovu lilipoibuka na mashahidi wote wakafariki mlikuwa wadogo au mlikuwa hamjazaliwa.sasa hivi serikali inataka kuwanyang'anya mashamba ya mkonge ambayo badala ya kuyaendeleza wamechukua mkopo benki na kulima sehemu ndogo tuyako mambo mengi ambayo mengine yako wazi na mengine yamejificha ila kwa sababu wengi mnadanganywa na uwekezaji wake kwenye mpira
 
tatizo hamjadili hoja mnamjadili mtu, mara wewe yanga wakati hakuna sehemu aliyozungumzia yanga au simba.Kwani hamjui jinsi gani Mohamed enteprises walivyokuwa wanatumia rushwa au udhaifu wa serikali kujipatia hiyo pesa ya haraka.hivi wakati swala la chakula kibovu lilipoibuka na mashahidi wote wakafariki mlikuwa wadogo au mlikuwa hamjazaliwa.sasa hivi serikali inataka kuwanyang'anya mashamba ya mkonge ambayo badala ya kuyaendeleza wamechukua mkopo benki na kulima sehemu ndogo tuyako mambo mengi ambayo mengine yako wazi na mengine yamejificha ila kwa sababu wengi mnadanganywa na uwekezaji wake kwenye mpira
Ulipotaja mpira tu,nikajua wewe ni YANGA bila shaka.
 
You have nothing to tell us,,,,,,,mlitumia mianya ya udhaifu wa vizazi vilivyopita mkajipatia utajiri wa kishenzi dhuluma uuaji wa tembo na rushwa
kuanzia sasa hivi learn how to shut that small mouth up!!!kwanza mliuza babu zetu utumwani na mkawaua kwa kuwatesa,,i hate you,,wewe ni kizazi cha uovu na akili zako zimejaa uovu hakuna jambo lolote unaweza kuwaambia watanzania nenda kwenu huko uarabuni ukapigane na waarabu wenzio huko
kwanza mbona sioni tatizo kwenye tweet ya MO! pia hoja ni asili yake au tweet yake? unge concentrate kwenye point moja ingeleta maana zaidi, kuhusu biashara ya utumwa MO ni mwenye asili ya India na hakuna uhusiano wa India na madhambi yaliyotendeka wakati wa utumwa. Nawakilisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom