Ni sawa na kuku aliyebandani,kumcheka anayechinjwa,siri ya kifo chetu anaijua Muumba,kama ni madhambi ya watendaji ahukumiwe kila mtu kwa kosa alilolifanya mwenyewe,polisi wengi ni wazuri tu,kama ambavyo mahakimu wengi walivyo wazuri,au Ma-TRA, au maofisa ardhi na kada nyinginezo nyingi serikalini .Ni vijana wadogo wanaotegemewa na taifa pamoja na familia zao,kama wewe unavyotegemewa,ni wadogo zetu,ni ndugu zetu ni wapendwa wetu.RIP