Mohamed Trans laua Polisi watano!

Leseni mpya ndio zimezidisha zaidi ajali,tofauti na tulivyoambiwa wakati wa uzinduzi wake

unajaribu koanisha nini,naiona pointi yako wazi wazi,kuwa dereva wa bus ndio mwenye makosa,maana huyo driver wa polisi sidhani hata kama hiyo leseni yake n mpya ,kwanin unakuwa mvivu wa kusoma na kutafakari.kila kitu kipo wazi tukirudi kwenye sherehe na kukuta makreti ya bia wazi -dereva wa bus hatakuwa hana makosa,tume huru ya uchunguzi iundwe na mashuhuda washirikishwe ukwel utajurikana DEREVA GAN AKUWA MWANGALIFU ZAIDI
 
Hakuna mwaka unao pita hivi hivi bila kusikia bus za mohamed trans zimehusika kuua...hii kampuni sijui ni ya majini? wanapenda kuona damu za watu zinamwagika sana.

Yani mimi nashangaa kwa nini bado wapo tu wanadunda its too much kila siku wao...
 
hata kama wapo 600000 wafe tu,polis!!!!!aaah hawa hawana maana,na kama kuna majeruh wafe wote,ingawa wote tutakufa,hawana ubinadam hawa watumishi,nawachukia polisi tangu nikiwa darasa la 2


!
!
mkuu nadhani wewe unaweza ukawa unawapenda.....mie siwapendi mpaka basi yani mpaka sijui nini. Dunia nzima hakuna.....siwapendi kinoma
 
Jaman mapot..dah! R.I.P mapot, hasa wadepo wangu watatu jema,deo na jack. Tupo nyuma yenu maana ndo njia tuloichagua..amen!
 
Picha ya gari waliopanda askari hao
mkuu Me sikuhitaji picha..i was curious na wakware wa picha hata mtu akisema kaja.mba wanataka pich sa sijui huwa zinawasaidia nin
 
!
!
wangekufa kumi au ishirini mbwa hawa siwapendi kama nini basi tu,

go burn in hell...siwapendi sana hawa watu basi tu
Kwa sababu wewe hautakufa eeeh ?! Control hasira zako acha roho za kishetani.
R.I.P AFANDE BUKOMBE, JACK, JEMA , ADOLF AND DEO.
Kufa ni wajibu kwa mwanadamu, mbele yenu nyuma yetu.
 
Duh!😱 hatari namna hii.
Hiyo saa 11 hilo bus lilikuwa linatoka wapi? Maana sie Sumatra tujuavyo mabasi yanaanza safar kote nchini saa 12 alfajiri.

Lilikuwa safarini kwenda stendi kuanza safari.
 
Pole kwa wafiwa wote..roho za marehemu zipumzike panapostahili.
 
!
!
wangekufa kumi au ishirini mbwa hawa siwapendi kama nini basi tu,

go burn in hell...siwapendi sana hawa watu basi tu
Inaelekea wewe kinda sana, unarusha jiwe hewana kwa kutegemea lipotelee huko huko.
Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na dunia.

Omba sana upate hekima!
 
!
!
wangekufa kumi au ishirini mbwa hawa siwapendi kama nini basi tu,

go burn in hell...siwapendi sana hawa watu basi tu

Hasa nikikumbuka jinsi walivyokuwa wanadungua watu na manati zao kwenye mikutano ya CDM kwa amri ya Nchemba na wakubwa zao na mimi siwapendi na sitoi RIP yangu
 
wao pia walishasababisha ujane na ukiwa kwa familia nyingi tu.i.e mwangosi and so on
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…