Mohamed Said ''Mzungu wa Unga,'' 2007 Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

Wewe msukununu, jenga uislamu achana na ukatoliki.
Chuakachara,
Hiki ni kitabu kimechapwa mwaka wa 1992 na kimeuzwa madukani.

Kunitukana mimi ni kunionea mimi nimemjibu mtu kwa kumweleza
ukweli na kumpa rejea hiyo.

Sikua na ni ya kukughadhibisha ndugu yangu na zipo rejea nyingine
nzito kuliko hiyo ya Sivalon (1992).

Ipo nyingine ya P van Bergen (1981).

Rejea zote hizi kwa kweli zinatisha na kwa sasa huwezi kuzipata hapa
nchini.
 
Chuakachara,
Hiki ni kitabu kimechapwa mwaka wa 1992 na kimeuzwa madukani.

Kunitukana mimi ni kunionea mimi nimemjibu mtu kwa kumweleza
ukweli na kumpa rejea hiyo.

Sikua na ni ya kukughadhibisha ndugu yangu na zipo rejea nyingine
nzito kuliko hiyo ya Sivalon (1992).

Ipo nyingine ya P van Bergen (1981).

Rejea zote hizi kwa kweli zinatisha na kwa sasa huwezi kuzipata hapa
nchini.
Haya mambo mnayoyajadili yako very sensitive katika jamii zetu, hasa kwa context ya majadiliano yenu. Mnajenga ufa kati ya dini hizi mbili.... nimesoma story yako kuwa kama angalikuwa mkristo anatoka Vatican........
 
Msimamo au mtazamo wa Nyerere kuhusu uislam ulikuwaje especially kabla na baada Ya nchi kupata uhuru?
Sherrif,
Kitabu cha Abdul Sykes kimeeleza yote hayo.
Siwezi kukupa jibu katika mistari michache ya JF.

Utajua mengi kwa kusoma kitabu.

Nimeeleza historia nziima ya Baba wa Taifa toka siku ya kwanza anakutana
na Abdul Sykes hadi uhuru unapatikana na yaliyopitika baada ya uhuru.

Nimepita kote majimboni alikokuwa anapokelewa na wananchi dhalili masikini
lakini wana ari kubwa.

Angalia picha hiyo hapo chini ya 1956 yuko Dodoma na Idd Faiz Mafungo,
Sheikh Mohamed Ramiyya, Abdu kandoro
na Haruna Taratibu:

P1KcVEzT67Q9uQ3WIL63zRcCsNLB1DYb2rlR_Eifj2YiMMbvFScXO30PPo1hRyoAK8csRjHxGF9SLi2SXfVPzVDSFojMDkRHpGQacpHkhjN6te1eEKdqGW5ZiClYi5UDuL3y_ZCeQKJ2h5T8QOzo3tw7_Fe2Cd7QS0OVSqnfWB0aas9yyWli8G_HpBGlOWSyCmVUnHszvDiA8W5Scmdf7BkvjO0STHDyK-0DZcrsiktM0CmZ08wn-KfufAxLBsEgRQ0WtrqgDr8VB2fraPW5orhVgM995XXJJey5rt6RN4tbQRQISiipCmZexT7H9cDDAQ_FF67zdnfkIRL-ICbl3idTMxxUTkwwpAoaEbnYUSo_TK5zXc15cXF-nIm3Ufy5eah-GpLoIY_foOHllTyLq5Ad1rL-nQpaC33pGEEgQTfABKGmcp9Z-3Ehf4JqnxZ83y7yM7pan4jx9KYWJoJYTiD0tuuTRansNRV-d5V16uewmmZ5RnaYboCgemY63T0iE5s0h35rG_tRkMvmq9UPPxlwJm0wG2cUjF0UYQaJoSWYRS1Kg-paDGbRPAgMU9Yqx-xetCnqC4NQaYaUJIiRXznonNllWnbH3pu3AhtAcQQ=w840-h630-no


Una kurasa 350 za kusoma lakini nakuhakikishia hutokiweka kitabu chini.

Usidhani najipigia zumari hiki kitabu tunakwenda toleo la nne Kiswahili na la
tatu Kizungu.

Kimependwa sana.
 
Haya mambo mnayoyajadili yako very sensitive katika jamii zetu, hasa kwa context ya majadiliano yenu. Mnajenga ufa kati ya dini hizi mbili.... nimesoma story yako kuwa kama angalikuwa mkristo anatoka Vatican........
Chuakachara,
Hakika yanachoma sana na ndiyo maana niliamua kuandika historia hii
ili tuwatambue wale waliovunja misingi ya umoja na haki iliyosimikwa
na wazee wetu waliopigania uhuru wa Tanganyika kwa mategemeo
makubwa ya ustawi wa kila Mtanganyika bila kujali dini yake wala kabila.

Nitakueleza kitu.

Ikiwa unaona haya yangu ni ''sensitive,'' msome Sivalon (1992) kisha
msome Njozi (2002) utaelewa kwa nini serikali ilikipiga marufuku kitabu
kile.

Kuondoa ufa ni kukubali kuwa tunalo tatizo na lazima lizungumzwe kwa
uwazi na hali ya upogo baina ya waumini wa dini kuu hizi mbili irekebishwe.

Kufagia taka chini ya zulia haitatusaidia.
 
Matola mimi na wewe ni watu wawili tofauti kwa kila kitu.

Kwangu mimi Uislamu wangu ni kila kitu na wala sioni aibu.

Mimi ni Mohamed Said Salum Abdallah...

Wako waloficha majina yao mimi sijapatapo kufanya hivyo.

Ikiwa kwako huu ni ujinga mimi ni radhi kuwa mjinga.

Mimi si mlemavu ni mzima Alhamdulillah na katika jamii yangu naheshimika sana.

Hayo mengine ya Wasomali si katika hoja tunazojadili hapa hivyo sina la kusema na hizo lugha za matusi "wapuuzi" nk. nimezizoea na nina uwezo wa kuzistahamilia.
Una maoni gani hivi sasa chama kilichopiganiwa na wazee wako yani ccm hivi sasa viongozi wake wakuu na jumuiya zake ni wakristo watupu na pia wote ni kutoka kanda ya ziwa? nini maoni yako katika hili?
 
Tuthibitishie kuwa waliokukamata ni wakristo,naona mmejengewa misingi ya chuki,na kulalamika ndo maana kila kitu mtakitazama kwenye misingi ya dini,Leo hii waislamu wanazikimbia nchi zao sababu ya chuki za kuuwana waislamu Kwa waislamu wanakimbilia kwenye nchi za makafiri wakaonyeshwe Upendo, kwann wasiende kwenye nchi za waislamu wenzao? Imetoka list ya Wauza unga majina mengi ni waislamu rejea gazetini mtasema sasa wanaondamwa ni waislamu? Hapana msisingizie dini panapo maovu kujifichia kupata popularity km alivofanya Osama na Makundi ya kigaidi. Me ni mkristo kabla sijasoma habari za uchunguxi niliamini ugaidi na uislamu ni kitu kimoja baada ya kuujua ukweli, kumbe uislamu hauna uusiano na ugaidi, dhana ya ugaidi imeingizwa na Freemasons ktk uislamu rejea history ya ugaidi ulianza lini, nani waanzilishi, na nn ajenda yake kuelekea new world order,soma history ya mapinduzi ya Irani,soma kuhusu vita vya msalaba nk.lengo la ugaidi kwanza ni kuusambaratisha uislamu, kupata mafuta Kwa mabadilishano ya silaha, kuifanya middle east isitulie Kwa usalama wa Israel,na kujipatia himaya ya kidunia Kwa kujifichia kwenye dini, na wenye kujua ajenda kuu ya ugaidi ni viongozi wakuu wa Makundi hayo na si wapiganaji wao hawaelewi chochote wameaminishwa wanapigania dini.Sababu ukitaka waislamu wachinjane waaminishe wanapigania dini,kumbe wapo kutimiza matakwa ya Freemasons toka magharibi. Shida kubwa ya waislamu wengi wameshajijengea dhana ya tunaonewa,tunadhulumiwa ukimgusa muislam hata Kwa mambo nje ya dini anakimbilia kwenye dini tunaonewa sababu tu waislamu. Ukiwaambia mnaonewa nn hawajui inakuwa sawa na wimbo wa taifa Kwa kila moja.Cha msingi ondoeni ile dhana tunaonewa,tunachukiwa nk sababu hakuna MTU ashawahi zuiwa fanya yake ya halali Kwa kufuata sheria sababu ya dini yake.
Umeanza vizuri kama unaakili timamu kumbe mpuuzi tu
 
Achi...
Nauliza tena.

Inawezekana wewe unatoka Roma kwenye mkutano na makabrasha
ya kanisa ukakamatwa na ukaulizwa kwa nini unaleta vitu hivyo nchini?

Inawezekana maaskofu wakakamatwa kisha wakalawitiwa na isiwe
chochote?

Inawezekana suala hilo likaletwa Bungeni na Waziri mwenye dhamana
akajibu kwa kejeli kuwa uchunguzi utafanyika lakini wanataka kuthibitisha
kuwa maaskofu hao hawakuwa wanafanya hayo kabla?
Askofu akamatwe aulizwe kwanini umeleta kanda za Huyu Mchungaji nchini kwetu...hicho kitu hakijawahi kutokea kamwe
 
Askofu akamatwe aulizwe kwanini umeleta kanda za Huyu Mchungaji nchini kwetu...hicho kitu hakijawahi kutokea kamwe
Claytonx,
Huu ndiyo ukweli wa hali ya nchi yetu na haitatusaidia kuukataa
ukweli huu.

Juu ya heshima ya masheikh hawa Waziri wa Mambo ya Ndani
Thomas Chikawe akawakejeli masheikh mahafidh wa Qur'an
kuwa upo uwezekano wa wao kuwa mashoga.

Kejeli hizi kawafanyia ndani ya Bunge na haikuwa lolote.

Huu ndiyo ukweli wa hali ya nchi yetu na haitatusaidia kuukataa
ukweli huu.
 
Kuwa na adabu huwezi kumuita Mohamed Said "we" kama a naleta udini katika mada zake acha kuzisoma sio unajitoa ufaham kwa kuwa upo nyuma ya keyboard.
Huyu mzee ni muhimu sana kwa elim ya historia hapa jamvini, kama unamuuliza, basi fanya hivyo kwa staha
We nae ni walewale watanzania hatutaki udini.
 
We nae ni walewale watanzania hatutaki udini.
Thomas...
Mimi nimeona hilo neno lakini nasema watu wana makuzi tofauti.

Sisi kitu cha kwanza ambacho mama zetu wanatufunza mara tu
tukiwa na akili kidogo ni adabu.

Mimi siwezi kumuita mtu, ''we'' kwa kuwa nimefunzwa kufanya
hivyo ni kumvunjia mtu heshima.

Sitegemei kila mtu awe kwao kafunzwa hivyo ndiyo kisa cha mie
kukukaa kimya.
 
Unatafuta kwa kuwatoa watu ktk kiza na kueleza ukweli bila fitina yoyote historia ya nchi kifupi naweza kusema ni Chuki binafsi husda zao juu yko Allah atakunyia wepec
Teh teh teh...hivi wakati hayo yakifanyika yaani fitna na husda juu yenu, ninyi ambao mnakiri mpo wengu mlikuwa wapi?

Mlishindwa nini kuzuia hayo yote?
 
John,
Hapana mimi naeleza kama ninavyokua kutokana na uzoefu.

Naamini kabisa kuwa wasingeweza kumfanyia mtu aliyetokea
Vatican haya waliyonifanyia mie.

Juu ya haya sikukatazi kuwa na fikra tofauti.
Ni kwanini wasingemfanyia hivyo mtu aliyetoka Vatican ikiwa wanamsuspect ama wana taarifa mbaya kuhusu mtu huyo?

Lini mtaacha kulialia kwa kusema mnaonewa na hakuna wa kuwatetea? Allah si awatetee?

Unaandikaga vitabu vizuuri vya kuhusu historia ya nchi, lakini Uzwazwa wa Kidini haukuishi Mtu mzima weye Mohamed

Una udini umekukamata kama ukurutu.


Wabillah Tawfiq,
 
Back
Top Bottom