PreGE2025 Mohamed Kawaida: Vijana CHADEMA wanataka kushiriki uchaguzi

PreGE2025 Mohamed Kawaida: Vijana CHADEMA wanataka kushiriki uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Mwenyekiti wa Umoja wa vijana CCM taifa (UVCCM), CDE Mohamed Kawaida amekiri kupokea malalamiko kutoka kwa vijana wa CHADEMA wakilalamikia kunyimwa haki ya kuchagua na chama chao kwa kitendo cha kugoma kutia saini kanuni za maadili ya uchaguzi.

"Chama chochote cha siasa ambacho hakifanyi jitihada za kushika dola hakifai kuaminiwa katika nafasi za uongozi kwa sababu kinakosesha haki ya msingi watu wake", alisema Mohamed Kawaida.

Awali akizungumza katika mkutano Mjini Njombe mwenyekiti wa UVCCM, Njombe Samwel Mgaya amesema mwaka huu ni mwaka wa kizungumkuti hivyo anataka vijana wajitokeze kwa wingi kushiriki mchakato mzima wa uchaguzi kwasababu wamechoka kubeba mabegi ya watu .
 
Mwenyekiti wa Umoja wa vijana CCM taifa (UVCCM), CDE Mohamed Kawaida amekiri kupokea malalamiko kutoka kwa vijana wa CHADEMA wakilalamikia kunyimwa haki ya kuchagua na chama chao kwa kitendo cha kugoma kutia saini kanuni za maadili ya uchaguzi.

"Chama chochote cha siasa ambacho hakifanyi jitihada za kushika dola hakifai kuaminiwa katika nafasi za uongozi kwa sababu kinakosesha haki ya msingi watu wake", alisema Mohamed Kawaida.

Awali akizungumza katika mkutano Mjini Njombe mwenyekiti wa UVCCM, Njombe Samwel Mgaya amesema mwaka huu ni mwaka wa kizungumkuti hivyo anataka vijana wajitokeze kwa wingi kushiriki mchakato mzima wa uchaguzi kwasababu wamechoka kubeba mabegi ya watu .
Si wahamie vyama vingine wakagombee
 
Mwenyekiti wa Umoja wa vijana CCM taifa (UVCCM), CDE Mohamed Kawaida amekiri kupokea malalamiko kutoka kwa vijana wa CHADEMA wakilalamikia kunyimwa haki ya kuchagua na chama chao kwa kitendo cha kugoma kutia saini kanuni za maadili ya uchaguzi.

"Chama chochote cha siasa ambacho hakifanyi jitihada za kushika dola hakifai kuaminiwa katika nafasi za uongozi kwa sababu kinakosesha haki ya msingi watu wake", alisema Mohamed Kawaida.

Awali akizungumza katika mkutano Mjini Njombe mwenyekiti wa UVCCM, Njombe Samwel Mgaya amesema mwaka huu ni mwaka wa kizungumkuti hivyo anataka vijana wajitokeze kwa wingi kushiriki mchakato mzima wa uchaguzi kwasababu wamechoka kubeba mabegi ya watu .
View attachment 3304856
Naona CCM siku hizi ndio Wasemaji wa CDM.

Mbona ni Rahisi, kama mnawashwa sana ili CDM ishiriki Uchaguzi-2025

Rekebisheni Sheria kandamizi za Uchaguzi kama alivyoelekeza TAL

Then tuone nani atatimuliwa vumbi!
 
Majizi ya ccm yamechanganyikiwa kwa uamuzi mgumu wa Chadema.
Hao wanaolalamika si awahamishie ccm.
 
Kutokana na uwepo wa taarifa za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoshiriki uchaguzi mkuu wa 2025 kulikosababishwa na kukataa kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, Mwenyekiti wa Mohammed Ali Kawaida, amesema amepokea malalamiko mengi kutoka kwa vijana juu ya kunyimwa haki yao ya msingi ya kuchaguliwa

Kawaida amezungumza hayo wakati akizungumza na mamia ya vijana wa halmashauri ya mji wa Njombe ambapo amesema vijana wameumizwa na kitendo hicho lakini wapo tayari kushiriki uchaguzi kwa kupiga kura kwa viongozi watakaopeleka maendeleo kwenye maeneo yao.

"Wameniambia kunyimwa kitendo cha kupiga kura au kuambiwa wasiende kupiga kura huko ni kunyimwa haki yao ya msingi, sasa mimi niwatie shime kwa kuwa vyama vyao vimewanyima haki yao ya msingi kugombea sisi tunawakaribisha katika chama chetu" amesema Kawaida

Aidha amesema lengo la chama chochote cha siasa ni kushinda uchaguzi wowote na sio kwa Chama cha Mapinduzi peke yake hivyo chama kisichokuwa na lengo la kushika dola hakifai kuaminiwa kwa kuwa kinakosesha haki ya msingi kwa wanachama wake ya kuchagua na kuchaguliwa.

Kwa Upande wake Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Njombe Samwel Mgaya amewataka vijana kwenda kushiriki zoezi la uchaguzi kwa amani huku akibainisha kuwa siasa sio vita kwa kuwa kuna maisha mengine baada ya siasa.
 
Propoganda nyingine za kitoto na kijinga sana yaani wana' Chadema waende Uvccm kulalamikia chama chao?
Total rubbish
 
Awakaribishe tu huko,asiletee kelele za kimaigizo hapa
 
Back
Top Bottom