Mimi kuna moderator anaitwa Moderator huyu bwana nadhani anaongoza kufuta nyuzi zangu, kuna uzi mmoja niliandika siku nyingi nahisi aliufuta yeye japo nilichokiandika nilikuwa na uhakika nacho na kitatokea siku za usoni kama breaking news.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.