Ms Judith
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 2,563
- 932
wapendwa, habari za siku nyingi.
kwa sasa niko dar na katika kujiweka sawa na mambo ya mtandao nikanunua modem ya tigo ya kutumia kwenye laptop yangu. ila cha kwa kweli sijaifurahia huduma hii. niliponunu waliniambia ina GB 3 ila katika kuitumia haina hata KB 1! hilo si la kusumbua sana ila lililonisikitisha ni kuwa, haina kasi kabisa licha ya kuwa mtandao unaonekana strong! kuna wakati nafungua website inatumia zaidi ya dk 10 na hatimaye inashindwa kabisa kufungua.
nimewapigia tigo simu mara kadha ila wameshindwa ku-fix tatizo na pia nimwatembelea kama mara mbili hivi pale mlimani city. kwa kweli najisikia kuitupa kabisa hii modem!
wapendwa, naombeni ushauri wa nini cha kufanya zaidi.
mbarikiwe sana,
Glory to God!!
kwa sasa niko dar na katika kujiweka sawa na mambo ya mtandao nikanunua modem ya tigo ya kutumia kwenye laptop yangu. ila cha kwa kweli sijaifurahia huduma hii. niliponunu waliniambia ina GB 3 ila katika kuitumia haina hata KB 1! hilo si la kusumbua sana ila lililonisikitisha ni kuwa, haina kasi kabisa licha ya kuwa mtandao unaonekana strong! kuna wakati nafungua website inatumia zaidi ya dk 10 na hatimaye inashindwa kabisa kufungua.
nimewapigia tigo simu mara kadha ila wameshindwa ku-fix tatizo na pia nimwatembelea kama mara mbili hivi pale mlimani city. kwa kweli najisikia kuitupa kabisa hii modem!
wapendwa, naombeni ushauri wa nini cha kufanya zaidi.
mbarikiwe sana,
Glory to God!!