MwanawaMUNGU41
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,052
- 749
Hapo gigy mbona kavaa vazi la heshima sana,mchupi wote huo? Saa nyingine hata
havaagi Gift!!
havaagi Gift!!
havaagi Gift!!Aaaaaaah daaah kwa nini nimefungua hapa daaah tayar nimeshapata akshi, hebu ngoja nimpigie wangu sim nyumbani ajiandae kabisa maana mmeshanipotezea mudi kabisa ya kufanya kazii , narudi Home faster![]()
![]()
Nauliza hivi wadau kwani ni lazima kwa video queen au model kuvaa nusu uchi?
Hawa watu wanaleta vichocheo vya ngono na ubakaji inabidi serikali iwatazame kwa jicho la 3 wanaharibu utamaduni wa Kitanzania
Kama ukahaba umepigwa marufuku basi na hawa video queens/models nao wapigwe marufuku manake hawana tofauti na machangudoa