Mo nikipenda...

Mo nikipenda...

Haya maswala yakupigia simu Mara 20...SITAKI KABISAA... SITAKI KABISA..TENA UKOME.
 
Haya maswala yakupigia simu Mara 20...SITAKI KABISAA... SITAKI KABISA..TENA UKOME.
Mi napiga tu
natuma SMS ikikaa masaa mawili haijajibiwa natuma tena

Siwazi umenichunia hata kidogo
 
Jamani..hata Kama Sina kazi nipo ...SITAKI kupigiwa simu kila saaa..Nop

Me sipigi mara nyingi hvyo ila najitahidi sana kumtafuta nimpendae. Ndio maana nikaweka 99% nadhani tofauti ipo apo kwenye upande wa mawasiliano
 
Ha ha ha we jamaa upo kama mm yaani sipendagi stress usipojibu natuma ata kumi sikati tamaa na kupiga ila nisi msumbue shemeji yenu namtumiaga sms mama nikupigie akisema ndio ndo anapigiwa Napia huwa sisikiliz ushauri wa watu ndomana wanasema kaniloga akati ni mapendo tu



Nikipata na mda adi chupi nafua na pedi jamani acheni tupende bhana tuplay part yetu


Ma ex zangu huwa wana nimiss sana maana Juice Wrld anasemage You find another one but am better one i won't you to forgert me wanajutaga kwanini wameniacha maana nilikuwa nawakaza vzr pia
 
Ha ha ha we jamaa upo kama mm yaani sipendagi stress usipojibu natuma ata kumi sikati tamaa na kupiga ila nisi msumbue shemeji yenu namtumiaga sms mama nikupigie akisema ndio ndo anapigiwa Napia huwa sisikiliz ushauri wa watu ndomana wanasema kaniloga akati ni mapendo tu



Nikipata na mda adi chupi nafua na pedi jamani acheni tupende bhana tuplay part yetu


Ma ex zangu huwa wana nimiss sana maana Juice Wrld anasemage You find another one but am better one i won't you to forgert me wanajutaga kwanini wameniacha maana nilikuwa nawakaza vzr pia
Kama ulikua Unawapenda,unawakaza vizuri, unawafulia Chupi, unawapigia simu...lakini huwa HAUWAPI PESA...
Wewe ni LOFA tu na unastahili KUACHWA.
 
Ha ha ha we jamaa upo kama mm yaani sipendagi stress usipojibu natuma ata kumi sikati tamaa na kupiga ila nisi msumbue shemeji yenu namtumiaga sms mama nikupigie akisema ndio ndo anapigiwa Napia huwa sisikiliz ushauri wa watu ndomana wanasema kaniloga akati ni mapendo tu



Nikipata na mda adi chupi nafua na pedi jamani acheni tupende bhana tuplay part yetu


Ma ex zangu huwa wana nimiss sana maana Juice Wrld anasemage You find another one but am better one i won't you to forgert me wanajutaga kwanini wameniacha maana nilikuwa nawakaza vzr pia
Vijana hawajui upendo ni nini
Wanawaza kulalana tu
Nikipenda nakuganda kama ruba sitafuti nafasi ya kukuacha
 
Back
Top Bottom