Mo nikipenda...

Mo nikipenda...

MO11

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2014
Posts
19,560
Reaction score
41,509
Habari za siku nyingi humu jukwaani

Nipo kama sipo Ila siku zinaenda. Japo namiss zile siku nilizokua active sana humu

Kuna mambo nimeweza kuyabadilisha ila hili naloleta kwenu limenishinda haswa na sijui kama nataka kutoka

Iko hivi
Mimi nikipenda nampigia hata mara 20 kwa siku. Kila nikishika simu nataka either niongee nae au nichat naye kiufupi nataka niongee nae hata kama sina la kumwambia

Akiniomba hela nampa maana kuna siku nilijiuliza natafuta hela ili nizifanyie nini nikajua ili nitumie mie peke yangu siwezi kutumia mchumi sana Ila akiniomba nampa akatumie

Nikipenda kumfumania sitaki nikimuona kwa mbali yupo na mtu nampigia namuuliza upo wapi kisha namuambia aje nyumbani sitaki tabu

Nikipenda hata ukinidanganya halafu nikajua unanidanganya nasubiri mpaka ujue mwenyewe kwamba najua unanidanganya sitaki kujifanya mjuaji

Naamini kila anachoniambia. Watu wananiambiaga nimewekewa limbwata nawashangaaga wakati ndo mapenzi niliyoyachagua

Nikikuomba ushauri simaanishi unishauri nimuache bora usave huo ushauri siwezi kupoteza penzi langu halafu nikalie ndani peke yangu halafu ww haupo

Mapenzi siyo kitu cha mchezo kabisa

Hayo ndo aina ya mapenzi niliyoyachagua

Wasalaam...
 
Sijui nione aibuu, ilikua fani yako hiyo,
Ulikuaga aibu unaona wewe tuu..

Ila naona hapa we ndo unataka kuleta mambo ya aibu aibu.
 
Chuo mnafungua lini,baada ya kunywa chai ya field umepata nguvu ya kanzisha uzi
 
Huna tofauti na huyu..
 
Back
Top Bottom