Mo Ndani Ya Fox News

Mo Ndani Ya Fox News

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,103
Reaction score
136,763
Jumamosi usiku mishale ya saa tatu, nikiwa naangalia kipindi cha Justice With Judge Jeanine, ghafla naona habari kupatikana kwa Mo zikipita chini kwenye kioo cha tivii [news ticker ].

Interesting....

E3BAC1D4-985D-4F18-87B1-D87C5DC4C3E7.jpeg
C4E17A97-B5EC-47D6-9A90-A5D1AFBD6B9F.jpeg
D0A9B3B7-3F5B-4BAA-9785-25DE2854D69E.jpeg
C6265126-AFC8-4C77-934B-707420B4DC83.jpeg
FDB2135D-9C68-4BAD-8B13-F728D4DFCB5E.jpeg
C769A75D-BE4B-47A2-8E49-816CA6358F5A.jpeg
6EC6576A-D025-4E0D-864D-4F76C37E88A7.jpeg
 
Tanzania, watekaji wanatoka nchi jirani wanataka hela hawasemi ni kiasi gani halafu wanakuachia wanakupa simu halafu wanaacha bunduki na kupotea
Hapo kwenye red hiyo habari umeipata wapi mkuu?! Mo hakupewa simu na hao watekaji bali alipewa simu na walinzi waliokua eneo lile na kwa vile alikua na namba ya baba yake kichwani ndio akampigia.
 
Back
Top Bottom