Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,240
- 4,869
Tena anasema tema ye2..najiuliza team yake yy na nan..yan sisi walala hoi uwa tunamatatz sana ww team inapata mafanikio unafurah tu unajua struggle iliyo behind..kama hujui shangilia au zomea basi..sio analeta.porojo eti hatuachie team yetu..wakisema hata alipie mfagiaji tu ataweza?..binadamu sisi kazi sana.Sipendangi mangese yaivi ivi umewahi kuchangia shingapi kwenye klabu? Mijitu ya ivi ata ukiyajibu ni kupoteza mda tu