Mshahara ni calculated base kwa ajili ya mwajiriwa tu na Sio kwa ajili ya familia yakeBajeti yake ya Malipo kwa Wafanyakazi wake kwa mwezi ni Kiasi gani? Payroll yake inazidi Dola Millioni 2? Tuanzieni hapo
Je mishahara anayowalipa i natisheleza Familia ya Mfanyakazi kujikimu? Je kuna benefits zingine kama Bima ya Afya, changio kwenye NSSF n.k
Kwani kusema kuwa kuajiri wafanyakazi 34,000 haitoshi yawezekana 31,000 ni makuli tu na wanalipwa chini ya Viwango vya kujikimu.
Let him be...So what?