Dewji: Ni ndoto ya kila kijana wa Kitanzania kufanya kazi MeTL

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,478
20,390
Nafuatilia mahojiano aliyofanya mfanyabiashara tajiri kijana Mo Dewji na Bloomberg.
Mo anadai anapata furaha kubwa pale inapokuwa ni ndoto ya kila kijana wa Kitanzania kufanya kazi na Kampuni yake, amedai watu wengi wameacha kazi mitandao ya simu na Kampuni za uchimbaji madini na kuamua kujiunga na Kampuni yake. Kampuni hii imekuwa chaguo la kwanza kwa vijana karibia wote wanaomaliza vyuo nchini.
Mo amesema haikuwa kazi rahisi kufika hapo, lakini kutokana na sera Bora za ajira za kampuni yake imewezekana.
Mo ameendelea kusema regardless na kitengo alipo mfanyakazi, wafanyakazi wote wamekuwa covered na bima ambazo zinawazesha kupata matibabu ya mpaka milioni 5 kwa mwaka, allowance za nyumba pia Kampuni inatoa chakula Cha mchana kwa wafanyakazi wote, huduma ya usafiri, scholarship kwa watoto wa wafanyakazi nk.

Nampongeza Sana Dewji na niwakati kwa waajiri wengine kujifunza kitu kwa huyu jamaa.
 
Nafuatilia mahojiano aliyofanya mfanyabiashara tajiri kijana Mo Dewji na Bloomberg.
Mo anadai anapata furaha kubwa pale inapokuwa ni ndoto ya kila kijana wa Kitanzania kufanya kazi na Kampuni yake, amedai watu wengi wameacha kazi mitandao ya simu na Kampuni za uchimbaji madini na kuamua kujiunga na Kampuni yake. Kampuni hii imekuwa chaguo la kwanza kwa vijana karibia wote wanaomaliza vyuo nchini.
Mo amesema haikuwa kazi rahisi kufika hapo, lakini kutokana na sera Bora za ajira za kampuni yake imewezekana.
Mo ameendelea kusema regardless na kitengo alipo mfanyakazi, wafanyakazi wote wamekuwa covered na bima ambazo zinawazesha kupata matibabu ya mpaka milioni 5 kwa mwaka, allowance za nyumba pia Kampuni inatoa chakula Cha mchana kwa wafanyakazi wote, huduma ya usafiri, scholarship kwa watoto wa wafanyakazi nk.

Nampongeza Sana Dewji na niwakati kwa waajiri wengine kujifunza kitu kwa huyu jamaa.
Alooh kumbe
tapatalk_1573179907198.jpg
 
Nafuatilia mahojiano aliyofanya mfanyabiashara tajiri kijana Mo Dewji na Bloomberg.
Mo anadai anapata furaha kubwa pale inapokuwa ni ndoto ya kila kijana wa Kitanzania kufanya kazi na Kampuni yake, amedai watu wengi wameacha kazi mitandao ya simu na Kampuni za uchimbaji madini na kuamua kujiunga na Kampuni yake. Kampuni hii imekuwa chaguo la kwanza kwa vijana karibia wote wanaomaliza vyuo nchini.
Mo amesema haikuwa kazi rahisi kufika hapo, lakini kutokana na sera Bora za ajira za kampuni yake imewezekana.
Mo ameendelea kusema regardless na kitengo alipo mfanyakazi, wafanyakazi wote wamekuwa covered na bima ambazo zinawazesha kupata matibabu ya mpaka milioni 5 kwa mwaka, allowance za nyumba pia Kampuni inatoa chakula Cha mchana kwa wafanyakazi wote, huduma ya usafiri, scholarship kwa watoto wa wafanyakazi nk.

Nampongeza Sana Dewji na niwakati kwa waajiri wengine kujifunza kitu kwa huyu jamaa.
Wapi wewe tangu lini kabachori akalipa vizuri?.

Wahindi hawafai bali watu wanajishikiza tu ili mkono upate chochote kitu
 
Nafuatilia mahojiano aliyofanya mfanyabiashara tajiri kijana Mo Dewji na Bloomberg.
Mo anadai anapata furaha kubwa pale inapokuwa ni ndoto ya kila kijana wa Kitanzania kufanya kazi na Kampuni yake, amedai watu wengi wameacha kazi mitandao ya simu na Kampuni za uchimbaji madini na kuamua kujiunga na Kampuni yake. Kampuni hii imekuwa chaguo la kwanza kwa vijana karibia wote wanaomaliza vyuo nchini.
Mo amesema haikuwa kazi rahisi kufika hapo, lakini kutokana na sera Bora za ajira za kampuni yake imewezekana.
Mo ameendelea kusema regardless na kitengo alipo mfanyakazi, wafanyakazi wote wamekuwa covered na bima ambazo zinawazesha kupata matibabu ya mpaka milioni 5 kwa mwaka, allowance za nyumba pia Kampuni inatoa chakula Cha mchana kwa wafanyakazi wote, huduma ya usafiri, scholarship kwa watoto wa wafanyakazi nk.

Nampongeza Sana Dewji na niwakati kwa waajiri wengine kujifunza kitu kwa huyu jamaa.
anafurahia jinsi watumwa wa kitanzania wanavyoendelea kuongezeka kwenye mahabusu zake, hovyo kabisa.
 
Nafuatilia mahojiano aliyofanya mfanyabiashara tajiri kijana Mo Dewji na Bloomberg.
Mo anadai anapata furaha kubwa pale inapokuwa ni ndoto ya kila kijana wa Kitanzania kufanya kazi na Kampuni yake, amedai watu wengi wameacha kazi mitandao ya simu na Kampuni za uchimbaji madini na kuamua kujiunga na Kampuni yake. Kampuni hii imekuwa chaguo la kwanza kwa vijana karibia wote wanaomaliza vyuo nchini.
Mo amesema haikuwa kazi rahisi kufika hapo, lakini kutokana na sera Bora za ajira za kampuni yake imewezekana.
Mo ameendelea kusema regardless na kitengo alipo mfanyakazi, wafanyakazi wote wamekuwa covered na bima ambazo zinawazesha kupata matibabu ya mpaka milioni 5 kwa mwaka, allowance za nyumba pia Kampuni inatoa chakula Cha mchana kwa wafanyakazi wote, huduma ya usafiri, scholarship kwa watoto wa wafanyakazi nk.

Nampongeza Sana Dewji na niwakati kwa waajiri wengine kujifunza kitu kwa huyu jamaa.
Aache sifa nae, METL wanalipa nini mishahara ya kipuuzi ya wahindi..
 
Nafuatilia mahojiano aliyofanya mfanyabiashara tajiri kijana Mo Dewji na Bloomberg.
Mo anadai anapata furaha kubwa pale inapokuwa ni ndoto ya kila kijana wa Kitanzania kufanya kazi na Kampuni yake, amedai watu wengi wameacha kazi mitandao ya simu na Kampuni za uchimbaji madini na kuamua kujiunga na Kampuni yake. Kampuni hii imekuwa chaguo la kwanza kwa vijana karibia wote wanaomaliza vyuo nchini.
Mo amesema haikuwa kazi rahisi kufika hapo, lakini kutokana na sera Bora za ajira za kampuni yake imewezekana.
Mo ameendelea kusema regardless na kitengo alipo mfanyakazi, wafanyakazi wote wamekuwa covered na bima ambazo zinawazesha kupata matibabu ya mpaka milioni 5 kwa mwaka, allowance za nyumba pia Kampuni inatoa chakula Cha mchana kwa wafanyakazi wote, huduma ya usafiri, scholarship kwa watoto wa wafanyakazi nk.

Nampongeza Sana Dewji na niwakati kwa waajiri wengine kujifunza kitu kwa huyu jamaa.
niliwahi kwenda kiwandani vingunguti, watu Wana fanya kazi mazingira hatarishi, Wana vaa mayebo yebo,joto kwenye machine,hakuna kabisa usalama wa wafanyakazi, Yani kama upo sokoni kariakoo
 
Back
Top Bottom