Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,054
- 71,347
Mimi mi Shabiki na Mwanachama wa Simba Sports Club!.
Kinachoendelea Kwa huyu Bwana Mo, ni uhuni, wizi , na ujanja ujanja wa kijinga sana ambao Sisi wanasimba ndio tunaulea.
Daktari Kigwangala, alivyohoji suala la Bilion 20, mamuluki walikuja mbele kumpondea Sanaa , lakini ukweli ni kwamba, Mo Dewj anajifanya Simba iendelee kua Simba ya Kizaman.
Jambo ambalo wengi hamlijui, Simba Ile ya misimu ya nyuma tulipokua tunatisha sana, ni Kwa sababu ya Mkono mkubwa na mchango mkubwa aloufanya Aliyekua Mkuu wa Mkoa wa Dar, Kijana Machachari ,PAUL MAKONDA
Mo Dewj, ni muhuni tuu, Utajiri wake ni Familia yake, Toka lini Muhindi akatoa Hela kuendesha Club?
SIMBA NI KUBWA SANA, SIMBA NI TIMU AMBAYO HAIWEZI KUKOSWA MMILIKI WA MAANA , SIMBA SASA YAPASWA IENDESHWE KIBIASHARA NA SIO BLAA BLAAH.
Kama Mo Dewj, hawez kuweka Bilion 20, aiache Simba, hatuwezi kukosa MMILIKI WA MAANA
Tazamen YANGA, Hawa hawatumii uchawi Wala nini, ni Uwekezaji, ni boliii ndo linapigwa na wachezaji toleo la kwanza.
Sio Simba, Simba hiii inashindwa kumnunua Manzoki? Mtazamen Mayele, Mayele utamlinganisha na mchezaji gan pale Simba??. JAMAA LINA NGUVU, SPEED, NA SKILLS ZA KUTOSHA na sio Mayele tu, tazama Safu ya ushambuliaji ya Yanga, Imeiva, Ina watu , ni seme wanapeleke moto kwelikweli !!.
Sasa Leo Simba, inategemea Boko?? Balekhe? KwelI?? Mambo ya ovyooooo ovyoooo ovyoooo kabisa !!.
Kwa Simba hiii hata Vipers watatufanya kitu mbaya, tusijipe Moyo na Imani za kipuuzi Et ohoooo point 6 za vipers n.k, ni upuuuzi, Kwan hata wao Vipers WANAWAZA hivohivo .
Namuonea huruma sana ROBERTINHO , Konya mzuri sana ,lkn amekutana na timj ya kisengee mnoo, matokeo yake lawama tunataka kumpa Kocha ?? Mambo ya ajabu sana.
Hata makundi kwenyewe, tumeingia Kwa kusua sua tuuu , hatuna timu ya kuiamini.
Hongera sana GSM, Hongera Yanga.
Mo Dewj, Kama Boli limekushinda, tuachie Timu. BAKI NA LIGI YAKO YA NGUMI.
WEWE MO DEWJ, KILA KITU UNATAKA??? BAKI NA NGUMI, TUACHIE SIMBA !!.
Kinachoendelea Kwa huyu Bwana Mo, ni uhuni, wizi , na ujanja ujanja wa kijinga sana ambao Sisi wanasimba ndio tunaulea.
Daktari Kigwangala, alivyohoji suala la Bilion 20, mamuluki walikuja mbele kumpondea Sanaa , lakini ukweli ni kwamba, Mo Dewj anajifanya Simba iendelee kua Simba ya Kizaman.
Jambo ambalo wengi hamlijui, Simba Ile ya misimu ya nyuma tulipokua tunatisha sana, ni Kwa sababu ya Mkono mkubwa na mchango mkubwa aloufanya Aliyekua Mkuu wa Mkoa wa Dar, Kijana Machachari ,PAUL MAKONDA
Mo Dewj, ni muhuni tuu, Utajiri wake ni Familia yake, Toka lini Muhindi akatoa Hela kuendesha Club?
SIMBA NI KUBWA SANA, SIMBA NI TIMU AMBAYO HAIWEZI KUKOSWA MMILIKI WA MAANA , SIMBA SASA YAPASWA IENDESHWE KIBIASHARA NA SIO BLAA BLAAH.
Kama Mo Dewj, hawez kuweka Bilion 20, aiache Simba, hatuwezi kukosa MMILIKI WA MAANA
Tazamen YANGA, Hawa hawatumii uchawi Wala nini, ni Uwekezaji, ni boliii ndo linapigwa na wachezaji toleo la kwanza.
Sio Simba, Simba hiii inashindwa kumnunua Manzoki? Mtazamen Mayele, Mayele utamlinganisha na mchezaji gan pale Simba??. JAMAA LINA NGUVU, SPEED, NA SKILLS ZA KUTOSHA na sio Mayele tu, tazama Safu ya ushambuliaji ya Yanga, Imeiva, Ina watu , ni seme wanapeleke moto kwelikweli !!.
Sasa Leo Simba, inategemea Boko?? Balekhe? KwelI?? Mambo ya ovyooooo ovyoooo ovyoooo kabisa !!.
Kwa Simba hiii hata Vipers watatufanya kitu mbaya, tusijipe Moyo na Imani za kipuuzi Et ohoooo point 6 za vipers n.k, ni upuuuzi, Kwan hata wao Vipers WANAWAZA hivohivo .
Namuonea huruma sana ROBERTINHO , Konya mzuri sana ,lkn amekutana na timj ya kisengee mnoo, matokeo yake lawama tunataka kumpa Kocha ?? Mambo ya ajabu sana.
Hata makundi kwenyewe, tumeingia Kwa kusua sua tuuu , hatuna timu ya kuiamini.
Hongera sana GSM, Hongera Yanga.
Mo Dewj, Kama Boli limekushinda, tuachie Timu. BAKI NA LIGI YAKO YA NGUMI.
WEWE MO DEWJ, KILA KITU UNATAKA??? BAKI NA NGUMI, TUACHIE SIMBA !!.