Mimi nimeshtukia hili..Kuna kitu Simba wanataka kukizima mtandaoni ila watu hawajastukia
VIVIP si anamshika mkono mwanawe wanaingia!!!Kajamaa kanapenda kutrend sana....
Kaongelewage kenyewe....
Wewe nae mahaba kwa Mwamedi yanakupofusha mpaka akili inagandaKuna kitu Simba wanataka kukizima mtandaoni ila watu hawajastukia
Kwa hiyo unaamini zile tweets ni real?Wewe nae mahaba kwa Mwamedi yanakupofusha mpaka akili inaganda