Nini mamlaka ya Mo Dewji ndani ya Simba?

moodykabwe

JF-Expert Member
Aug 16, 2015
625
602
Nipende kutoa pole zangu za dhati kwa Watanzania wote pamoja na Waafrika kwa kupoteza Kiongozi jasiri na shupavu, Hayati Dk. John Pombe Joseph Magufuli ambaye alikuwa ni Rais wa Tanzania awamu ya tano.

Lakini tukiwa bado kwenye mwendelezo wa maombelezo ya siku 21 ya kitaifa ndipo anaibuka Mdhamini wa Klabu ya Simba ambaye nguvu yake ya kimkataba wa mahusiano yao ni umiliki wa hisa wa asilimia 49 huku Wanamsimbazi ikibakiwa na asilimia 51.

Napenda tuanzie hapa kwenye hisa kwani hizo namba 51 na 49 si namba tu bali zina maana kubwa sana ikiwa pamoja na nguvu ya kimamlaka, uamuzi na mapendekezo katika kuenenda ili kufanikisha mambo baina ya pande mbili husika.

Katika hali ya kawaida Klabu ya Simba wana nguvu kubwa kwani wao ndio wana sehemu kubwa ya umiliki ikiwa ni zaidi ya nusu ukiangalia kwa namba.

Hivyo napenda kwa pamoja tujiulize Mo Dewji anapoibuka na kuanza kudhihaki udhamini wa Sportpesa na Simba; tena amefanya hivyo tena kienyeji kabisa kwa kutumia ukurasa wake binafsi huku akiwa si Mwenyekiti wa Simba. Unajiuliza hiyo nguvu ameitoa wapi?

Katika hali ya kawaida na kiungwana udhamini wa Simba na Sportpesa umedumu kwa zaidi ya miaka mitano sasa huku Sportpesa wakihusika katika kulipa mishahara na huduma zingine za kiuendeshaji na kupata nafasi ya kuweka tangazo lao katika jezi za klabu husika.

Uwepo wa Sportpesa umesaidia mengi kwenye maendeleo ya Klabu ya Simba jambo ambalo ni la kushukuriwa hata kama kuna maeneo yana upungufu.

Katika kipindi hiki ambacho mkataba huo unaelekea ukingoni ilikuwa ni wasaa wa pande mbili kwa maana ya Simba na Sportpesa kukaa mezani na kujadiliana na kuona namna ya kuboresha ama laah, na endapo wasipofikia makubaliano basi kupitia Mwenyekiti wa klabu ambao ndiyo wenye hisa 51 ndio wangetoa mwelekeo tena kwa utaratibu maalumu, lakini cha ajabu anaibuka mdhamini ambaye naye ni mshindani wa kibiashara na Sportpesa na kutoa kauli yenye dhihaka kitu ambacho hakitoi taswira nzuri kwa wadhamini wengine na kunaweza kuweka mazingira magumu kwa wadhamini wengine kuja kuwekeza kwenye klabu ya Simba.

Lakini kwa dhihaka ambazo Mo Dewji amezitoa kwa Sportpesa kwa udhamini wao je yeye ambaye ameendelea kutumia nembo ya Simba na kuweka matangazo yake kwenye jezi za Msimbazi kila kona, ameifaidisha klabu kwa kiasi gani?

Udhamini wa MO EXTRA na MO HALISI unatoa tija kiasi gani kwa Simba SC. Je kinachotolewa na SPORTPESA kinafanana na wanachokipata Simba SC kupitia hizo bidhaa mbili ambazo Mo Dewji anazitangaza kupitia na nembo na jezi za Simba SC?

Leo atoke hadharani atuambie kila bidhaa anayoitangaza kupitia Simba SC kwa mwaka klabu inafaidika vipi na wanapata kiasi gani na kipo wapi?

Vilevile Wanasimba na Watanzania wanatakiwa waelewe kuwa Mo Dewji na makampuni yao sio wenye dhamana ya uongozi.

Hii ni kwa sababu wakati wowote na kwa sababu yeyote wanaweza kujitoa Simba kuamua kuingia ubia na kampuni yeyote hivyo kutumia nafasi yake ya udhamini wa asilimia 49 na kujivika nafasi ya Simba SC ni kosa na kuidhalilisha klabu kwani inaonekana haina nguvu na ule umiliki wa asilimia 51 hauna kitu wala tija ilihali wametoka kuchagua mwenyekiti mpya hivi karibuni.

Kwa alichokifanya Mo Dewji leo, Je ni makubaliano baina ya makampuni yake na Simba?

Au ni utashi wake? Kama ni utashi wake maana yake hatambui mipaka yake na yule Mwenyekiti wa Simba aliyepewa dhamana ya kulinda umiliki wa asilimia 51 yupo kama picha tu.

Biashara ni makubaliano inapofikia mmeshindwa kukubaliana ni vema mkaachana kwa amani huku kila mmoja akilinda heshma yake na heshma ya upande wa pili.

Leo kuja kuidhihaki Sportpesa ni sawa na si uungwana yapo mengi wameyafanya kwa klabu ya Simba.

Hili swala si la kiushabiki ni vema wanasimba mkaanza kuona namna ambavyo klabu yenu inavyokwenda kutaifishwa na kuwa timu ya familia na niliandika hili.

Leo hii zile shilingi Bilioni 20 zimebaki hadithi isiyokwisha wala hasemi ataziweka lini?

Amebaki anaruka kama maharagwe ya Mbeya na kuanza kuchokonoa wadhamini wengine ambao wanafanya kazi na Simba huku mkataba ukiwa bado upo na kuonesha dhihaka na dharau.

Najua wenye uwelewa na mapenzi mema na Simba watakuwa wamenielewa ila wale wachumia tumbo vichawa vya Mo Dewji watatafuta majibu rahisi juu ya hili, lakini pia wanachama ni wakati wa kujitafakari huku mkihoji mwenyekiti wenu mmemchagua kwa kazi gani?

Njia niliyotumia kwenda ndio nitakayorudia

Msemakweli wa haki

Nimemaliza
officialpriscakishamba-20210323-0001.jpg
 
Kwa mawazo yangu naona MO anaweza akawa yupo sahihi au hayupo sahihi.. Hili inategemea utalitazama hili suala katika muktadha upi.

1. KIBIASHARA
Mo yupo sahihi kabisa kwasababu mkataba wa Sports pesa ambao SIMBA SC walisaini miaka kadhaa nyuma ni lazima uwe tofauti na Huu ambao unaweza ukasainiwa kama pande zote mbili watakubalina.

Simba kwa sasa Brand yao wameikuza na wameiboresha sana kwahiyo lazima wata demand kikubwa sanaa na hilo hata Sport pesa wanalifaham

Mkataba wa awali ambao SIMBA SC walisaini na sports pesa ulikuwa ni wa mafungu... Yaani Sports pesa walihodhi Brand za Simba pamoja na Yanga kwa pamoja na ilikuwa dili nzuri sana kwao.. Ila kwa sasa timu zote hizi mbili kwa sasa zina malengo tofauti na mfumo wa uendeshaji wa hivi vilabu ni tofuati sanaa kwa sasa

Hivyo basi Alichofanya MO ni kuikumbusha Sport pesa kwamba wajipange watakapokuja katika meza ya mazungumzo kwaajili ya ku renew mkataba.

2. MGONGANO WA KIMASILAHI (conflict of interest)

Hapa MO anaweza kuonekana kama anaandaa mazingira ya kuhodhi au kufanya monopoly katika kuhakikisha anapata haki ya kuweka tangazo baada ya mkataba wa SIMBA SC na sports pesa kuisha

Kibiashara Mo hana makosa ila kwa nafasi yake ndani ya Club ya Simba inaleta mgongano wa kimaslahi na hivyo sio picha nzuri.

Mwisho wa siku katika hili suala namba ndo zitakazoamua kwa maana atakayeleta Ofa nzuri ndo atakula shavu.. Mwenye kisu kikali ndo atakula nyama.
 
Ungeuliza hayo maswali huko mtaroni. Mfumo wa kisasa unahitaji uwazi, hapo tenda inatangazwa kumpata main sponsor, watu wanabid mwenye offer ya kuvutia anapewa kazi na hata mo inabidi ashindane
Mo halisi na extra alishindanishwa na nani? Hizi timu hawa jamaa wanazitumia sana kwasababu hazijapata viongozi sahihi sana wenye weledi wa kujua abcd za business
 
Mwikwabi anakushangaa, usidhani ni mjinga kujiuzulu.
Mkwabi ni mwanasimba mwenzangu tunaweza kujadiliana kama wanasimba ila kichekesho ni utopolo kufungua thread kuhusu Simba wakati haiwahusu.

Tofauti ya Nkwabi na utopolo, Nkwabi hawezi kuihujumu Simba wala hawezi kufurahia anguko la Simba lakini nyinyi upotolo mnalala mkiwaza namna gani Simba iporomoke
 
.... Mo Dewji anapoibuka na kuanza kudhihaki udhamini wa Sportpesa na Simba; tena amefanya hivyo tena kienyeji kabisa kwa kutumia ukurasa wake binafsi huku akiwa si Mwenyekiti wa Simba.
Kama amefanya hivyo huku akiwa si mwenyekiti wa Simba, basi haina madhara yoyote, ni maoni ya mshabiki tu kwa hiyo isikusumbue. Uzi ufungwe
 
Nipende kutoa pole zangu za dhati kwa Watanzania wote pamoja na Waafrika kwa kupoteza Kiongozi jasiri na shupavu, Hayati Dk. John Pombe Joseph Magufuli ambaye alikuwa ni Rais wa Tanzania awamu ya tano.

Lakini tukiwa bado kwenye mwendelezo wa maombelezo ya siku 21 ya kitaifa ndipo anaibuka Mdhamini wa Klabu ya Simba ambaye nguvu yake ya kimkataba wa mahusiano yao ni umiliki wa hisa wa asilimia 49 huku Wanamsimbazi ikibakiwa na asilimia 51.

Napenda tuanzie hapa kwenye hisa kwani hizo namba 51 na 49 si namba tu bali zina maana kubwa sana ikiwa pamoja na nguvu ya kimamlaka, uamuzi na mapendekezo katika kuenenda ili kufanikisha mambo baina ya pande mbili husika.

Katika hali ya kawaida Klabu ya Simba wana nguvu kubwa kwani wao ndio wana sehemu kubwa ya umiliki ikiwa ni zaidi ya nusu ukiangalia kwa namba.

Hivyo napenda kwa pamoja tujiulize Mo Dewji anapoibuka na kuanza kudhihaki udhamini wa Sportpesa na Simba; tena amefanya hivyo tena kienyeji kabisa kwa kutumia ukurasa wake binafsi huku akiwa si Mwenyekiti wa Simba. Unajiuliza hiyo nguvu ameitoa wapi?

Katika hali ya kawaida na kiungwana udhamini wa Simba na Sportpesa umedumu kwa zaidi ya miaka mitano sasa huku Sportpesa wakihusika katika kulipa mishahara na huduma zingine za kiuendeshaji na kupata nafasi ya kuweka tangazo lao katika jezi za klabu husika.

Uwepo wa Sportpesa umesaidia mengi kwenye maendeleo ya Klabu ya Simba jambo ambalo ni la kushukuriwa hata kama kuna maeneo yana upungufu.

Katika kipindi hiki ambacho mkataba huo unaelekea ukingoni ilikuwa ni wasaa wa pande mbili kwa maana ya Simba na Sportpesa kukaa mezani na kujadiliana na kuona namna ya kuboresha ama laah, na endapo wasipofikia makubaliano basi kupitia Mwenyekiti wa klabu ambao ndiyo wenye hisa 51 ndio wangetoa mwelekeo tena kwa utaratibu maalumu, lakini cha ajabu anaibuka mdhamini ambaye naye ni mshindani wa kibiashara na Sportpesa na kutoa kauli yenye dhihaka kitu ambacho hakitoi taswira nzuri kwa wadhamini wengine na kunaweza kuweka mazingira magumu kwa wadhamini wengine kuja kuwekeza kwenye klabu ya Simba.

Lakini kwa dhihaka ambazo Mo Dewji amezitoa kwa Sportpesa kwa udhamini wao je yeye ambaye ameendelea kutumia nembo ya Simba na kuweka matangazo yake kwenye jezi za Msimbazi kila kona, ameifaidisha klabu kwa kiasi gani?

Udhamini wa MO EXTRA na MO HALISI unatoa tija kiasi gani kwa Simba SC. Je kinachotolewa na SPORTPESA kinafanana na wanachokipata Simba SC kupitia hizo bidhaa mbili ambazo Mo Dewji anazitangaza kupitia na nembo na jezi za Simba SC?

Leo atoke hadharani atuambie kila bidhaa anayoitangaza kupitia Simba SC kwa mwaka klabu inafaidika vipi na wanapata kiasi gani na kipo wapi?

Vilevile Wanasimba na Watanzania wanatakiwa waelewe kuwa Mo Dewji na makampuni yao sio wenye dhamana ya uongozi.

Hii ni kwa sababu wakati wowote na kwa sababu yeyote wanaweza kujitoa Simba kuamua kuingia ubia na kampuni yeyote hivyo kutumia nafasi yake ya udhamini wa asilimia 49 na kujivika nafasi ya Simba SC ni kosa na kuidhalilisha klabu kwani inaonekana haina nguvu na ule umiliki wa asilimia 51 hauna kitu wala tija ilihali wametoka kuchagua mwenyekiti mpya hivi karibuni.

Kwa alichokifanya Mo Dewji leo, Je ni makubaliano baina ya makampuni yake na Simba?

Au ni utashi wake? Kama ni utashi wake maana yake hatambui mipaka yake na yule Mwenyekiti wa Simba aliyepewa dhamana ya kulinda umiliki wa asilimia 51 yupo kama picha tu.

Biashara ni makubaliano inapofikia mmeshindwa kukubaliana ni vema mkaachana kwa amani huku kila mmoja akilinda heshma yake na heshma ya upande wa pili.

Leo kuja kuidhihaki Sportpesa ni sawa na si uungwana yapo mengi wameyafanya kwa klabu ya Simba.

Hili swala si la kiushabiki ni vema wanasimba mkaanza kuona namna ambavyo klabu yenu inavyokwenda kutaifishwa na kuwa timu ya familia na niliandika hili.

Leo hii zile shilingi Bilioni 20 zimebaki hadithi isiyokwisha wala hasemi ataziweka lini?

Amebaki anaruka kama maharagwe ya Mbeya na kuanza kuchokonoa wadhamini wengine ambao wanafanya kazi na Simba huku mkataba ukiwa bado upo na kuonesha dhihaka na dharau.

Najua wenye uwelewa na mapenzi mema na Simba watakuwa wamenielewa ila wale wachumia tumbo vichawa vya Mo Dewji watatafuta majibu rahisi juu ya hili, lakini pia wanachama ni wakati wa kujitafakari huku mkihoji mwenyekiti wenu mmemchagua kwa kazi gani?

Njia niliyotumia kwenda ndio nitakayorudia

Msemakweli wa haki

NimemalizaView attachment 1732281
Shida yenu nyie Yanga mnatamani Mo ajitoe ili Simba ipolomoke ifanane na Yanga yenu badala ya kupresharaizi viongozi wenu kuondokana na mfumu wenu mbovu wa kiumiliki ili klabu yenu iwe na nguvu ya pesa kama Simba. Msitegemee hata siku moja klabu yenu ikwa na msuli wa pesa ikiwa mtaendelea na mfumo wenu huo na mnavyodanganya eti klabu ya wanachama mara wananchi wakati nyie mashabiki hamuambulii hata mia ya pipi mnaacha viongozi wenu wanjineemesha na hicho kidogo kinachopatikana kwa mgongo wenu. Shenz type.
 
Nipende kutoa pole zangu za dhati kwa Watanzania wote pamoja na Waafrika kwa kupoteza Kiongozi jasiri na shupavu, Hayati Dk. John Pombe Joseph Magufuli ambaye alikuwa ni Rais wa Tanzania awamu ya tano.

Lakini tukiwa bado kwenye mwendelezo wa maombelezo ya siku 21 ya kitaifa ndipo anaibuka Mdhamini wa Klabu ya Simba ambaye nguvu yake ya kimkataba wa mahusiano yao ni umiliki wa hisa wa asilimia 49 huku Wanamsimbazi ikibakiwa na asilimia 51.

Napenda tuanzie hapa kwenye hisa kwani hizo namba 51 na 49 si namba tu bali zina maana kubwa sana ikiwa pamoja na nguvu ya kimamlaka, uamuzi na mapendekezo katika kuenenda ili kufanikisha mambo baina ya pande mbili husika.

Katika hali ya kawaida Klabu ya Simba wana nguvu kubwa kwani wao ndio wana sehemu kubwa ya umiliki ikiwa ni zaidi ya nusu ukiangalia kwa namba.

Hivyo napenda kwa pamoja tujiulize Mo Dewji anapoibuka na kuanza kudhihaki udhamini wa Sportpesa na Simba; tena amefanya hivyo tena kienyeji kabisa kwa kutumia ukurasa wake binafsi huku akiwa si Mwenyekiti wa Simba. Unajiuliza hiyo nguvu ameitoa wapi?

Katika hali ya kawaida na kiungwana udhamini wa Simba na Sportpesa umedumu kwa zaidi ya miaka mitano sasa huku Sportpesa wakihusika katika kulipa mishahara na huduma zingine za kiuendeshaji na kupata nafasi ya kuweka tangazo lao katika jezi za klabu husika.

Uwepo wa Sportpesa umesaidia mengi kwenye maendeleo ya Klabu ya Simba jambo ambalo ni la kushukuriwa hata kama kuna maeneo yana upungufu.

Katika kipindi hiki ambacho mkataba huo unaelekea ukingoni ilikuwa ni wasaa wa pande mbili kwa maana ya Simba na Sportpesa kukaa mezani na kujadiliana na kuona namna ya kuboresha ama laah, na endapo wasipofikia makubaliano basi kupitia Mwenyekiti wa klabu ambao ndiyo wenye hisa 51 ndio wangetoa mwelekeo tena kwa utaratibu maalumu, lakini cha ajabu anaibuka mdhamini ambaye naye ni mshindani wa kibiashara na Sportpesa na kutoa kauli yenye dhihaka kitu ambacho hakitoi taswira nzuri kwa wadhamini wengine na kunaweza kuweka mazingira magumu kwa wadhamini wengine kuja kuwekeza kwenye klabu ya Simba.

Lakini kwa dhihaka ambazo Mo Dewji amezitoa kwa Sportpesa kwa udhamini wao je yeye ambaye ameendelea kutumia nembo ya Simba na kuweka matangazo yake kwenye jezi za Msimbazi kila kona, ameifaidisha klabu kwa kiasi gani?

Udhamini wa MO EXTRA na MO HALISI unatoa tija kiasi gani kwa Simba SC. Je kinachotolewa na SPORTPESA kinafanana na wanachokipata Simba SC kupitia hizo bidhaa mbili ambazo Mo Dewji anazitangaza kupitia na nembo na jezi za Simba SC?

Leo atoke hadharani atuambie kila bidhaa anayoitangaza kupitia Simba SC kwa mwaka klabu inafaidika vipi na wanapata kiasi gani na kipo wapi?

Vilevile Wanasimba na Watanzania wanatakiwa waelewe kuwa Mo Dewji na makampuni yao sio wenye dhamana ya uongozi.

Hii ni kwa sababu wakati wowote na kwa sababu yeyote wanaweza kujitoa Simba kuamua kuingia ubia na kampuni yeyote hivyo kutumia nafasi yake ya udhamini wa asilimia 49 na kujivika nafasi ya Simba SC ni kosa na kuidhalilisha klabu kwani inaonekana haina nguvu na ule umiliki wa asilimia 51 hauna kitu wala tija ilihali wametoka kuchagua mwenyekiti mpya hivi karibuni.

Kwa alichokifanya Mo Dewji leo, Je ni makubaliano baina ya makampuni yake na Simba?

Au ni utashi wake? Kama ni utashi wake maana yake hatambui mipaka yake na yule Mwenyekiti wa Simba aliyepewa dhamana ya kulinda umiliki wa asilimia 51 yupo kama picha tu.

Biashara ni makubaliano inapofikia mmeshindwa kukubaliana ni vema mkaachana kwa amani huku kila mmoja akilinda heshma yake na heshma ya upande wa pili.

Leo kuja kuidhihaki Sportpesa ni sawa na si uungwana yapo mengi wameyafanya kwa klabu ya Simba.

Hili swala si la kiushabiki ni vema wanasimba mkaanza kuona namna ambavyo klabu yenu inavyokwenda kutaifishwa na kuwa timu ya familia na niliandika hili.

Leo hii zile shilingi Bilioni 20 zimebaki hadithi isiyokwisha wala hasemi ataziweka lini?

Amebaki anaruka kama maharagwe ya Mbeya na kuanza kuchokonoa wadhamini wengine ambao wanafanya kazi na Simba huku mkataba ukiwa bado upo na kuonesha dhihaka na dharau.

Najua wenye uwelewa na mapenzi mema na Simba watakuwa wamenielewa ila wale wachumia tumbo vichawa vya Mo Dewji watatafuta majibu rahisi juu ya hili, lakini pia wanachama ni wakati wa kujitafakari huku mkihoji mwenyekiti wenu mmemchagua kwa kazi gani?

Njia niliyotumia kwenda ndio nitakayorudia

Msemakweli wa haki

NimemalizaView attachment 1732281
Team yako ya utopolo inamatatizo kibao ,,wachezaji hawalipwi kwa wakati ,wachezaji wanadai pesa za kuvunja mikataba miaka na miaka,,,team ina udhami wa GSM ambao mpaka sasa haujaleta manufaa hapo utopolon .Unakuja kuhoji majukum ya Mo ambae toka aingie Simba unaona kabisa mafanikio yake ndan ya simba, kachin jengen team yenu ,kwakuingilia mambo ya simba sidhan ndio itawapa unafuu wanyie kuingia walau group stage club bingwa Afrika
 
Nipende kutoa pole zangu za dhati kwa Watanzania wote pamoja na Waafrika kwa kupoteza Kiongozi jasiri na shupavu, Hayati Dk. John Pombe Joseph Magufuli ambaye alikuwa ni Rais wa Tanzania awamu ya tano.

Lakini tukiwa bado kwenye mwendelezo wa maombelezo ya siku 21 ya kitaifa ndipo anaibuka Mdhamini wa Klabu ya Simba ambaye nguvu yake ya kimkataba wa mahusiano yao ni umiliki wa hisa wa asilimia 49 huku Wanamsimbazi ikibakiwa na asilimia 51.

Napenda tuanzie hapa kwenye hisa kwani hizo namba 51 na 49 si namba tu bali zina maana kubwa sana ikiwa pamoja na nguvu ya kimamlaka, uamuzi na mapendekezo katika kuenenda ili kufanikisha mambo baina ya pande mbili husika.

Katika hali ya kawaida Klabu ya Simba wana nguvu kubwa kwani wao ndio wana sehemu kubwa ya umiliki ikiwa ni zaidi ya nusu ukiangalia kwa namba.

Hivyo napenda kwa pamoja tujiulize Mo Dewji anapoibuka na kuanza kudhihaki udhamini wa Sportpesa na Simba; tena amefanya hivyo tena kienyeji kabisa kwa kutumia ukurasa wake binafsi huku akiwa si Mwenyekiti wa Simba. Unajiuliza hiyo nguvu ameitoa wapi?

Katika hali ya kawaida na kiungwana udhamini wa Simba na Sportpesa umedumu kwa zaidi ya miaka mitano sasa huku Sportpesa wakihusika katika kulipa mishahara na huduma zingine za kiuendeshaji na kupata nafasi ya kuweka tangazo lao katika jezi za klabu husika.

Uwepo wa Sportpesa umesaidia mengi kwenye maendeleo ya Klabu ya Simba jambo ambalo ni la kushukuriwa hata kama kuna maeneo yana upungufu.

Katika kipindi hiki ambacho mkataba huo unaelekea ukingoni ilikuwa ni wasaa wa pande mbili kwa maana ya Simba na Sportpesa kukaa mezani na kujadiliana na kuona namna ya kuboresha ama laah, na endapo wasipofikia makubaliano basi kupitia Mwenyekiti wa klabu ambao ndiyo wenye hisa 51 ndio wangetoa mwelekeo tena kwa utaratibu maalumu, lakini cha ajabu anaibuka mdhamini ambaye naye ni mshindani wa kibiashara na Sportpesa na kutoa kauli yenye dhihaka kitu ambacho hakitoi taswira nzuri kwa wadhamini wengine na kunaweza kuweka mazingira magumu kwa wadhamini wengine kuja kuwekeza kwenye klabu ya Simba.

Lakini kwa dhihaka ambazo Mo Dewji amezitoa kwa Sportpesa kwa udhamini wao je yeye ambaye ameendelea kutumia nembo ya Simba na kuweka matangazo yake kwenye jezi za Msimbazi kila kona, ameifaidisha klabu kwa kiasi gani?

Udhamini wa MO EXTRA na MO HALISI unatoa tija kiasi gani kwa Simba SC. Je kinachotolewa na SPORTPESA kinafanana na wanachokipata Simba SC kupitia hizo bidhaa mbili ambazo Mo Dewji anazitangaza kupitia na nembo na jezi za Simba SC?

Leo atoke hadharani atuambie kila bidhaa anayoitangaza kupitia Simba SC kwa mwaka klabu inafaidika vipi na wanapata kiasi gani na kipo wapi?

Vilevile Wanasimba na Watanzania wanatakiwa waelewe kuwa Mo Dewji na makampuni yao sio wenye dhamana ya uongozi.

Hii ni kwa sababu wakati wowote na kwa sababu yeyote wanaweza kujitoa Simba kuamua kuingia ubia na kampuni yeyote hivyo kutumia nafasi yake ya udhamini wa asilimia 49 na kujivika nafasi ya Simba SC ni kosa na kuidhalilisha klabu kwani inaonekana haina nguvu na ule umiliki wa asilimia 51 hauna kitu wala tija ilihali wametoka kuchagua mwenyekiti mpya hivi karibuni.

Kwa alichokifanya Mo Dewji leo, Je ni makubaliano baina ya makampuni yake na Simba?

Au ni utashi wake? Kama ni utashi wake maana yake hatambui mipaka yake na yule Mwenyekiti wa Simba aliyepewa dhamana ya kulinda umiliki wa asilimia 51 yupo kama picha tu.

Biashara ni makubaliano inapofikia mmeshindwa kukubaliana ni vema mkaachana kwa amani huku kila mmoja akilinda heshma yake na heshma ya upande wa pili.

Leo kuja kuidhihaki Sportpesa ni sawa na si uungwana yapo mengi wameyafanya kwa klabu ya Simba.

Hili swala si la kiushabiki ni vema wanasimba mkaanza kuona namna ambavyo klabu yenu inavyokwenda kutaifishwa na kuwa timu ya familia na niliandika hili.

Leo hii zile shilingi Bilioni 20 zimebaki hadithi isiyokwisha wala hasemi ataziweka lini?

Amebaki anaruka kama maharagwe ya Mbeya na kuanza kuchokonoa wadhamini wengine ambao wanafanya kazi na Simba huku mkataba ukiwa bado upo na kuonesha dhihaka na dharau.

Najua wenye uwelewa na mapenzi mema na Simba watakuwa wamenielewa ila wale wachumia tumbo vichawa vya Mo Dewji watatafuta majibu rahisi juu ya hili, lakini pia wanachama ni wakati wa kujitafakari huku mkihoji mwenyekiti wenu mmemchagua kwa kazi gani?

Njia niliyotumia kwenda ndio nitakayorudia

Msemakweli wa haki

NimemalizaView attachment 1732281
Wamepata mfadhili mpya
 
Nimesoma uzi ila hapo uliposema sportpesa wanalipa mishahara ya Simba ndy nikaacha kusoma.
Sportpesa halipi mishahara pale, au huoni msoto wa yanga waliopitia kabla ya Gsm
Inawezekana wanalipa kwa flat rate labda milioni moja au milioni moja na nusu lakini klabu inaingia mkataba na mchezaji kwa mshahara bei ya juu.
Mkataba mwingine utakapofika wataangalia changamoto zilizojitokeza na kila kitu ama kitarekebishwa au Simba itaingia mkataba na mdhamini mwingine mwenye pesa ndefu
 
Nipende kutoa pole zangu za dhati kwa Watanzania wote pamoja na Waafrika kwa kupoteza Kiongozi jasiri na shupavu, Hayati Dk. John Pombe Joseph Magufuli ambaye alikuwa ni Rais wa Tanzania awamu ya tano.

Lakini tukiwa bado kwenye mwendelezo wa maombelezo ya siku 21 ya kitaifa ndipo anaibuka Mdhamini wa Klabu ya Simba ambaye nguvu yake ya kimkataba wa mahusiano yao ni umiliki wa hisa wa asilimia 49 huku Wanamsimbazi ikibakiwa na asilimia 51.

Napenda tuanzie hapa kwenye hisa kwani hizo namba 51 na 49 si namba tu bali zina maana kubwa sana ikiwa pamoja na nguvu ya kimamlaka, uamuzi na mapendekezo katika kuenenda ili kufanikisha mambo baina ya pande mbili husika.

Katika hali ya kawaida Klabu ya Simba wana nguvu kubwa kwani wao ndio wana sehemu kubwa ya umiliki ikiwa ni zaidi ya nusu ukiangalia kwa namba.

Hivyo napenda kwa pamoja tujiulize Mo Dewji anapoibuka na kuanza kudhihaki udhamini wa Sportpesa na Simba; tena amefanya hivyo tena kienyeji kabisa kwa kutumia ukurasa wake binafsi huku akiwa si Mwenyekiti wa Simba. Unajiuliza hiyo nguvu ameitoa wapi?

Katika hali ya kawaida na kiungwana udhamini wa Simba na Sportpesa umedumu kwa zaidi ya miaka mitano sasa huku Sportpesa wakihusika katika kulipa mishahara na huduma zingine za kiuendeshaji na kupata nafasi ya kuweka tangazo lao katika jezi za klabu husika.

Uwepo wa Sportpesa umesaidia mengi kwenye maendeleo ya Klabu ya Simba jambo ambalo ni la kushukuriwa hata kama kuna maeneo yana upungufu.

Katika kipindi hiki ambacho mkataba huo unaelekea ukingoni ilikuwa ni wasaa wa pande mbili kwa maana ya Simba na Sportpesa kukaa mezani na kujadiliana na kuona namna ya kuboresha ama laah, na endapo wasipofikia makubaliano basi kupitia Mwenyekiti wa klabu ambao ndiyo wenye hisa 51 ndio wangetoa mwelekeo tena kwa utaratibu maalumu, lakini cha ajabu anaibuka mdhamini ambaye naye ni mshindani wa kibiashara na Sportpesa na kutoa kauli yenye dhihaka kitu ambacho hakitoi taswira nzuri kwa wadhamini wengine na kunaweza kuweka mazingira magumu kwa wadhamini wengine kuja kuwekeza kwenye klabu ya Simba.

Lakini kwa dhihaka ambazo Mo Dewji amezitoa kwa Sportpesa kwa udhamini wao je yeye ambaye ameendelea kutumia nembo ya Simba na kuweka matangazo yake kwenye jezi za Msimbazi kila kona, ameifaidisha klabu kwa kiasi gani?

Udhamini wa MO EXTRA na MO HALISI unatoa tija kiasi gani kwa Simba SC. Je kinachotolewa na SPORTPESA kinafanana na wanachokipata Simba SC kupitia hizo bidhaa mbili ambazo Mo Dewji anazitangaza kupitia na nembo na jezi za Simba SC?

Leo atoke hadharani atuambie kila bidhaa anayoitangaza kupitia Simba SC kwa mwaka klabu inafaidika vipi na wanapata kiasi gani na kipo wapi?

Vilevile Wanasimba na Watanzania wanatakiwa waelewe kuwa Mo Dewji na makampuni yao sio wenye dhamana ya uongozi.

Hii ni kwa sababu wakati wowote na kwa sababu yeyote wanaweza kujitoa Simba kuamua kuingia ubia na kampuni yeyote hivyo kutumia nafasi yake ya udhamini wa asilimia 49 na kujivika nafasi ya Simba SC ni kosa na kuidhalilisha klabu kwani inaonekana haina nguvu na ule umiliki wa asilimia 51 hauna kitu wala tija ilihali wametoka kuchagua mwenyekiti mpya hivi karibuni.

Kwa alichokifanya Mo Dewji leo, Je ni makubaliano baina ya makampuni yake na Simba?

Au ni utashi wake? Kama ni utashi wake maana yake hatambui mipaka yake na yule Mwenyekiti wa Simba aliyepewa dhamana ya kulinda umiliki wa asilimia 51 yupo kama picha tu.

Biashara ni makubaliano inapofikia mmeshindwa kukubaliana ni vema mkaachana kwa amani huku kila mmoja akilinda heshma yake na heshma ya upande wa pili.

Leo kuja kuidhihaki Sportpesa ni sawa na si uungwana yapo mengi wameyafanya kwa klabu ya Simba.

Hili swala si la kiushabiki ni vema wanasimba mkaanza kuona namna ambavyo klabu yenu inavyokwenda kutaifishwa na kuwa timu ya familia na niliandika hili.

Leo hii zile shilingi Bilioni 20 zimebaki hadithi isiyokwisha wala hasemi ataziweka lini?

Amebaki anaruka kama maharagwe ya Mbeya na kuanza kuchokonoa wadhamini wengine ambao wanafanya kazi na Simba huku mkataba ukiwa bado upo na kuonesha dhihaka na dharau.

Najua wenye uwelewa na mapenzi mema na Simba watakuwa wamenielewa ila wale wachumia tumbo vichawa vya Mo Dewji watatafuta majibu rahisi juu ya hili, lakini pia wanachama ni wakati wa kujitafakari huku mkihoji mwenyekiti wenu mmemchagua kwa kazi gani?

Njia niliyotumia kwenda ndio nitakayorudia

Msemakweli wa haki

NimemalizaView attachment 1732281
Sport PESA hawalipi mishahara wachezaji wa Simba
 
Mbumbumbu fc wasicho elewa hakuna kinachoitwa mfumo mpya wa uendeshaji Klabu ya Simba mbaka Sasa. MO anaiendesha Simba Kama ilivyokua Manji kwakua mchakato hauja kamilika, Ila kwakua MO ananguvu ya pesa ndio maana anaisemea Klabu.
Simba ki uhalisia ipo vile vile haina uwezo wa kujiendesha bila wadhamini mbalimbali, mfumo mpya wa uendeshaji Klabu haujawa tayari na aijulikani Kama ukianza kazi rasmi itachukua muda gani Klabu kujiendesha yenyewe kwa mapato yake.
MO akiondoka Leo Simba itabaki Kama ilivyokua apo awali, Pesa anazoweka MO ni mapenzi yake binafsi. CEO ni cheo Cha mfumo mpya, Mkurgenzi ni cheo katika mfumo mpya Ila mfumo wenyewe mpya haujatambuliwa na Serikali kwaiyo hakuna jipya Ila Mambo yanafanyika kinadharia.
 
Back
Top Bottom